chikutentema
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 7,730
- 5,011
Atuthibishie kwamba hana kadi ya ccm nasi tumpe ushahidi kwamba anayo huyu Bana
Dah usikute Dr slaa ana kadi namba ya bana kuwa ni ccm cheza na ISS ya Dr slaa
Atuthibishie kwamba hana kadi ya ccm nasi tumpe ushahidi kwamba anayo huyu Bana
Katika gazeti la mwananchi la leo amesikika Dk. Benson Bana akisema ana mpango wa kugombea ubunge jimbo la Bukoba vijijini kwa tiketi ya Chadema.Hii imekaaje wadau?
Chanzo: Gazeti Mwananchi | 14 Novemba,2014
Sidhani kama CDM ni wajinga kiasi hiki?! Huyu atauza jimbo kwa ma-CCM zero hours, kama CDM wakifanya makosa hayo ya kumsimamisha.
Dr Bana hata akijibaragua kiasi gani ajibu hoja kwa nini alimwandikia email huyo jamaa kuwa " kazi imekamilika"?
Katika gazeti la mwananchi la leo amesikika Dk. Benson Bana akisema ana mpango wa kugombea ubunge jimbo la Bukoba vijijini kwa tiketi ya Chadema.Hii imekaaje wadau?
Chanzo: Gazeti Mwananchi | 14 Novemba,2014
Atuthibishie kwamba hana kadi ya ccm nasi tumpe ushahidi kwamba anayo huyu Bana
Usijari mkuu mi bado mkoa wenu una watu nawaheshimu sana kwa mfano Prof. Azavel Lwaitama