Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Yule dk aliehusika na kashfa ya kubaka kule hospital ya marie stope
amepewa uchungaji na moja ya makanisa ya kipentecoste
akiwa katka vazi la utanashati kama anapokea
degree yake dk huyo alitabasamu na alipoulizwa
swala la kesi yake alijibu naomba tumwachie mungu awe msemaji wangu
mungu awabariki...akuongeza wala kupunguza,dk-pastor mi nakuombea mungu unusurike na hili janga watu wengi wamekuwa wakichukiwa na kubambikizwa kesi za kubaka ,..mungu akakutenganishe na laana za majaji wanazopata kumhukumu mtu wakati ajatenda kosa
amepewa uchungaji na moja ya makanisa ya kipentecoste
akiwa katka vazi la utanashati kama anapokea
degree yake dk huyo alitabasamu na alipoulizwa
swala la kesi yake alijibu naomba tumwachie mungu awe msemaji wangu
mungu awabariki...akuongeza wala kupunguza,dk-pastor mi nakuombea mungu unusurike na hili janga watu wengi wamekuwa wakichukiwa na kubambikizwa kesi za kubaka ,..mungu akakutenganishe na laana za majaji wanazopata kumhukumu mtu wakati ajatenda kosa