Dk aliehusishwa na ubaakaji marie stopes akabidhiwa uchungaji

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,462
21,334
Yule dk aliehusika na kashfa ya kubaka kule hospital ya marie stope
amepewa uchungaji na moja ya makanisa ya kipentecoste
akiwa katka vazi la utanashati kama anapokea
degree yake dk huyo alitabasamu na alipoulizwa
swala la kesi yake alijibu naomba tumwachie mungu awe msemaji wangu
mungu awabariki...akuongeza wala kupunguza,dk-pastor mi nakuombea mungu unusurike na hili janga watu wengi wamekuwa wakichukiwa na kubambikizwa kesi za kubaka ,..mungu akakutenganishe na laana za majaji wanazopata kumhukumu mtu wakati ajatenda kosa
 
Yalishawahi kusemwa kuwa kila aliyejifanya kuokoka ni lazima alikuwa mtenda maovu makubwa na kukimbilia kanisani kuficha machafu yake,haya oneni wenyewe!
 
Yalishawahi kusemwa kuwa kila aliyejifanya kuokoka ni lazima alikuwa mtenda maovu makubwa na kukimbilia kanisani kuficha machafu yake,haya oneni wenyewe!
Hujakosea.Ni kweli kabisa.Na ndio lilikuwa lengo kuu la Yesu kufa msalabani.Kwa ajili ya uuaji wetu,uchawi n.k Yesu alikuja kutukomboa.
Yesu mwenyewe alisema" .......wenye afya hawamuhitaji Daktari ,bali ni walio wagonjwa.Sikuja kuwaita watu wema bali wenye dhambi ili wapate kutubu......."
 
Hujakosea.Ni kweli kabisa.Na ndio lilikuwa lengo kuu la Yesu kufa msalabani.Kwa ajili ya uuaji wetu,uchawi n.k Yesu alikuja kutukomboa.
Yesu mwenyewe alisema" .......wenye afya hawamuhitaji Daktari ,bali ni walio wagonjwa.Sikuja kuwaita watu wema bali wenye dhambi ili wapate kutubu......."
Thats my girl! kwani kusingekuwa na dhambi, Yesu asingekufa msalabani.
 
sisi tukikaa kimya, Mungu aweza kunyanyua hata mawe yamtumikie.............. katika historia, Mungu amewahi kuwatumia kunguru kufanya kazi yake (kisa cha Eliya), amewahi kutumia samaki kufanya kazi yake (kisa cha Yona), amewahi kutumia simba wenye njaa (kisa cha daniel), amewahi kutumia wamisri kufanya kazi yake (kisa cha Yusuph, Musa na ukombozi wa wana wa israel toka utumwani).........nk nk.

mifano ni mingi ya Kuthibitisha kuwa Mungu hutumia watu wema na waovu na pia hata viumbe vingine ambavyo si watu katika kufanya kazi ya kuvuna shambani kwake. kama samaki, kunguru walitumika, je haikumpasa sana huyu Dr ambaye ni mwandamu aliyeumbwa kwa mfano wake? je tuhuma za ubakaji zinamuomdolea thamani hiyo mbele za Mngu? hapana............ kama Mungu aweza kunyanyua mawe, si zaidi sana huyu ndugu aliye tayari kwa kazi ya utmishi?............. ndiyo, Bwana hata leo wawaita wateule wake wawe mitume, wachunga walishe kundi lake.........

kila la heri mtumishi wa Mungu aliye hai..................
 
Mama mia kumradhi,mchungaji huyo akikuita uende peke yako kwa maombezi special ya mkesha kufuatana na maono aliyopewa utaenda?
 
Makanisa mengi ya kileo yamekaa kibiashara zaidi!!! Wanatumia nguvu za jiza katika kazi zao, wengi wao. Wengine wanahitajika kila baada ya muda fulani kwenda Nigeria kujiimarisha!!! Tunayumbishwa kiimani sana, tuwe makini mno.

Matapeli wameshajua kuwa ukiwa na biashara ya kanisa na ukiwa ma kichwa kizuri cha kushika mistari ya biblia na kuonisha na shida za watu halafu ukaongezea na ufundi wa Kalimanjila basi ubillionaire umeupata!!! Muda si muda tutakuona unatanua barabarani na Harrier, Hammer, BMW, Rangerover, you name all posh cars!!! Tusidanganyike.
 
ila sasa asije akaendeleza kale kamchezo atakapokuwa anatoaushauri kwa wanakondoo kwani mazingira ni yale yale kama dr angejituliza kwanza mbona fasta uchungaji
 
Makanisa mengi ya kileo yamekaa kibiashara zaidi!!! Wanatumia nguvu za jiza katika kazi zao, wengi wao. Wengine wanahitajika kila baada ya muda fulani kwenda Nigeria kujiimarisha!!! Tunayumbishwa kiimani sana, tuwe makini mno.

Matapeli wameshajua kuwa ukiwa na biashara ya kanisa na ukiwa ma kichwa kizuri cha kushika mistari ya biblia na kuonisha na shida za watu halafu ukaongezea na ufundi wa Kalimanjila basi ubillionaire umeupata!!! Muda si muda tutakuona unatanua barabarani na Harrier, Hammer, BMW, Rangerover, you name all posh cars!!! Tusidanganyike.

ila yana mwisho na yote haya ni kwasababu watanzania ni wavivu ktk neno la mungu uko nigeria unakosema matapeli ni wengi ila wanaomtafuta mungu kiukweli ni wengi zaidi na ndio mana wapo juu kiroho kiasi kwamba wameweza kutofautisha wa mungu na washetani wapo wazi kabisa tofauti na kwetu uwezi kumjua wa ukweli na muongo wote wamoja na watanzania wameshapotoshwa awajui cha kweli na cha uongo na hiyo ni mpaka kwenye vitu vya kawaida ,kimwili na kiroho ni kichina china tu
 
ila sasa asije akaendeleza kale kamchezo atakapokuwa anatoaushauri kwa wanakondoo kwani mazingira ni yale yale kama dr angejituliza kwanza mbona fasta uchungaji

Inabidi fasta fasta akasaidie wajane. Biblia ina wajane inawaita wajane kweli kweli. Halafu kuna wajane wengineo hawa wazidiwao na tamaa, wanahitaji maombi maalum ya ki-pastor zaidi.
 
Inabidi fasta fasta akasaidie wajane. Biblia ina wajane inawaita wajane kweli kweli. Halafu kuna wajane wengineo hawa wazidiwao na tamaa, wanahitaji maombi maalum ya ki-pastor zaidi.

ahaa ah kweli umenichekesha atakuwa anawafungua kwelikweli mh
 
Mama mia kumradhi,mchungaji huyo akikuita uende peke yako kwa maombezi special ya mkesha kufuatana na maono aliyopewa utaenda?

ntamuuliza mungu kwanza niende nisiende
yawezekana nikienda mungu anaweza ntumia kumwambia maovu yake live
na hivyo kumuokoa
 
Hujakosea.Ni kweli kabisa.Na ndio lilikuwa lengo kuu la Yesu kufa msalabani.Kwa ajili ya uuaji wetu,uchawi n.k Yesu alikuja kutukomboa.
Yesu mwenyewe alisema" .......wenye afya hawamuhitaji Daktari ,bali ni walio wagonjwa.Sikuja kuwaita watu wema bali wenye dhambi ili wapate kutubu......."
Ni kweli kabisa dada/kaka yetu... Yesu hakuteswa kwa ajili ya waliokwisha uona ufalme; lakini nadhani tuangalie pia maana thabiti ya haki na nafasi ya nyumba ya mungu kwenye matukio haya

Tuliambiwa tutubu, lakini huyu Dr. hakutubu... kumbuka hili "nakuungamia mungu mwenyezi, nayi ndugu zangu!!! je huyu mchungaji alisema kwamba amekosea kubaka mgonjwa?? haionyeshi kwamba amesema amekosea, bali amesema anamwachia mungu, ni hayohayo yametolewa na viongozi kule musoma baada ya mauaji, ni hayohayo alisema lowassa baada ya kujiuzulu nk.

Lest not take things lightly na kwenye miamvuli, remember someone suffered from the rape!! hivi angekuwa ni wewe ungeweza sema hayo?

Kuna daktari mwingine wa MOI alishawahi kubaka na kesi yake ikaisha hivihivi kwa kumuachia munngu!!! Je hawa akina Nguza na akina sixtus nao hawakumuachia mungu???

Naomba tuvae viatu vya victims when we analyse these events!!!

KUna baadhi ya makanisa yapo kibiahsara zaidi
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom