HONGERA SANA!!DJ CHOKA hata mimi nakupongeza na na mwombea mtoto maisha mema na baraka za ALLAH,SUBAHANA WA TAHALAH,na namwomba na mimi anijaalie nipate watoto wanaume tu,eehe ALLAH,NI BARIKI NA MIMI KAMA ULIVYOMARIKI
KIUMBE WAKO DJ.CHOKA kama alivyopata mtoto wa kiume na mimi nipate watoto wanaume humzidishie baraka mtoto wake kama utakavyowazidishia wa kwangu,AMEEN!!