kwahyo mwana ana imba ngonjera au cioDizasta ni mwana ngojera anaetumia midundo ya hiphop kuhadithia vitu mbalimbali.
Vijana wengi wa sasa wametokea kuvutiwa na ngojera zake kiasi cha kujichanganya kudhani anafanya muziki wa rap.
Kiuhalisia yupo genre moja na Mrisho Mpoto.
ukienda boomplay zinakuja songi 40+Sizijui nyingi maana leo ndiyo namsikiliza. Nimeipenda Harder. Pia kuna Muscular Feminist, kaiandika kiakili sana.
siku mbaya na ile sistaDizasta Vina njoo utueleze wewe ni nani.
Ila kwenye story telling Dizasta ni moto kuna mangoma yake ya Hatia 1,2,3 na 4 pamoja na kikaoni, ndoano, na freestyle mbalimbali jamaa ni mnoma