Diwana wa ccm kata ya mianzini,temeke Dar amefariki dunia jana jioni katika hospital ya ZAKHEM.
Kwa mujibu wa taarifa za Wapo Radio, diwani huyo bi CECILIA MACHA alianguka gafla katika kikao cha halmashauri kuu ya CCM ya Wilaya kilichofanyika jana Ijumaa.
Kwa mujibu wa taarifa za Wapo Radio, diwani huyo bi CECILIA MACHA alianguka gafla katika kikao cha halmashauri kuu ya CCM ya Wilaya kilichofanyika jana Ijumaa.