Diwani wa Kata ya Sombetini (CCM, Arusha) ahamia CHADEMA

KAMATA WEZI MEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEN! Ni vema wote wanaoisikia sauti ya Mungu nakurudi kundini wawekwe chini ya uangalizi ili kujiridhsha kama PEPO mchafu amewato kiukweli.
 
Kufunga wiki nzima na majibu papo kwa papo

maamuzi sahihi kwa wakati sahihi huleta matokeo sahihi,maombi ya lema yalikua sahihi kwa wakati sahihi,na yataleta majibu sahihi kwa wakati sahihi,m4c inaanza kwa wakati sahihi,na inaleta matokeo sahihi kama ilivyo fanya op-sangara.MUNGU IBARIKI TANZANIA,MUNGU IBARIKI CHADEMA,MUNGU IBARIKI M4C
 
Nawamegea siri,arusha 2natangaza uhuru we2 tar 5 may ktk viwanja vya NMC,RAIS WA KWANZA WA JAMHURI YETU NI KAMANDA GODBLESS LEMA,IKULU ITAKUWA KARAMA PALE KIMANDOLU MLIMANI,2meahidiwa kupewa eneo na huyo mzungu wa masai camp

hongera yenu jamani na sisi kigoma tunatangaza jamhuri yetu, zitto ndie rais wetu wa kwanza, kafulila waziri wa utamaduni na mimi ndie waziri mkuu mpya wa kigoma, serukamba tunampa ubalozi ataiwakilisha kigoma huko arusha ili awe karibu na EL rafiki yake mkubwa
 
Wanaanza mmoja mmoja.but cdm iwe makini tusije tukawa tunawafungulia zizi fisi wenye uchu tukidhani ni kondoo wenzetu, mwishowe tukakuta zizi halina kitu zaid ya mabaki ya mifupa na kinyesi cha chokaa.
Waache waje tu! chujio letu liko makini.
Lakini ni ujumbe mkubwa sana kwa cc majambazi. Mbivu na mbichi zitakuwa wazi kabla ya 2015. Nilishatangaza hapa na narudia "MENE MENE TEKELI NA PERESI CCM" UTAWALA WAKO UMEFITINIKA.! Nothing shall interfere with the GOD's plan in our country!
 
Yupo Njiani Kuja Arusha Baada Ya Kupokelewa na Viongozi wa Chadema Huko Dodoma. Mh! Kazi Ipo...tehe..
 
mpambano unaendelea na ukombozi unakaribia AR.PEOPLESSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSS!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Eti wao wanasema wanao ondoka CCM ni magamba wakati awali tulitajiwa magamba 3 na Nape
 
Back
Top Bottom