Elections 2010 Diwani wa CHADEMA (na member wa JF) atekwa Igunga

CCM mnataka na sisi tuanze kazi ya utekaji? Mnaona sasa hasara za kuhalalisha silaha hata kwa majambazi? Kwa kitendo hiki sasa nashawishika kusema CCM ni CHAMA CHA MAJAMBAZI.BAAAAAAS!!!!!!!!!
 

Craaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaap hakuna kitu hapa !
 

santeee
 
Craaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaap hakuna kitu hapa !

hizi taarifa hata polisi wanazo sasa sijui ni crap kwenye masaburi yako..cha msingi Magamba acheni mchezo mchafu maana tutakapo anza na sisi sijui kama tutaishi kwa utulivu tena nchi hii..
 
Eti kweli mambo kama haya ya kihuni ya kutekana sasa yanaelekea kuwa SEHEMU KAMILI YA UTAMADUNI WETU kwa kuwa tu wao CCM wamependezewa nazo. Jamani tunakwenda wapi kama taifa na hizi siasa UCHWARA?????????????????
 
Tunaelekea wapi huko? Tumeanza kutekana tena? Hizi sasa ndizo Siasa Uchwara. Mbona hapa kila mtu anadai katekwa? Mwenye gari anasema alitaka kutekwa na akawazidi nguvu na kuwanyang'anya simu na mwenye simu anasema alitekwa na kujiokoa ila simu zikabaki kwenye gari!!! Tunaishi kimjinimjini na ukitaka kumchinja kobe basi fanya timing!! Hapa naona ni timing tu inacheza.
 
Siri ipo kwenye ulinzi wa kura mpaka zitakapohesabiwa na kutangazwa mbele ya hadhara.

Tuige mtindo wa watu wa Mara kutoondoka kituoni zaidi tu ya kupiga hatua kumi nyuma. Jiulize unapoondoka kutuoni kura zako huwa unamwachia nani akulindie wakati tume, polisi na vyombo vingine vyote ni vya CCM.

Ulinzi na usalama wa kura ni haki ya msingi ya wapiga kura popote pale!!!!!!!!!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…