Rohombaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 13,058
- 10,345
Khaa!! Kwani alipewa udiwani na chadema au wapiga kura wake?? Alikuwa anawatumikia chadema au wapiga kura wake?? Kuna sehemu tulikosea bora ije katiba mpya tuondokane na huu ujinga...diwani wa chadema kata ya kiwira amefukuzwa uwanachama na kunyang'anywa kadi kwa mfululizo mrefu wa makosa ikiwa ni pamoja na kushiliki mkutano ccm ulioandaliwa na mbunge wa ccm hilda ngoi