Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,596
diwani wa chadema kata ya kiwira amefukuzwa uwanachama na kunyang'anywa kadi kwa mfululizo mrefu wa makosa ikiwa ni pamoja na kushiliki mkutano ccm ulioandaliwa na mbunge wa ccm hilda ngoi
Kushiriki mkutano nalo linaweza kuwa kosa? Mbona vyama hivi vina ushirikiano miongoni mwao na hufanya mijadala name mikutano ya pamoja.