Diwani Vs Spika wa Bunge nani atashinda?

kimsingi diwani ndiye mwenye mamlaka na eneo lake hilo lililopo kwenye kata yake, makinda ni mkazi tu na kwa maana nyingine diwani akiitisha kikao na wananchi wakemakinda naye anatakiwa ahudhurie kama wananchi wengine.
 
Ni sababu za kiusalama, mi nafikiri angekwenda kukaa kwa wakubwa wenzake huko kuliko na usalama kuliko kutufungia njia wananchi wa kawaida kisa usalama wake.
 
Hii inaonyesha kuwa SPIKA wenu ni Mbumbumbu wa Sheria.
Hivi kweli hajui kuwa kuna sheria za Ardhi zinazotawala? Je hajui kuwa kuna mamlaka za mitaa.

Kwa kila hali lazima DIWANA ashinde kwani kama DC atashindwa kutatua mgogoro huo basi wnanchi wakiongozwa na Diwani wao wana haki kamili za kupeleka shauru hili mahakamani kupinga kufungwa kwa barabara.

makinda acha ubabe.
 
makinda


HUU SI MKONO WA KUSHOTO?....WAPI MAPETE YA NDOA NA UCHUMBA?...WAPI MUMEWE?:pound::pound::pound:
 
Perception mbaya kabisa ya Ukubwa!
Mi nilijua kuwa ukubwa ni utumishi kwa watu!
Sasa anategemea jirani zake watapita wapi, kama si unyama huu?
Mambo yakiwa magumu nguvu ya UMMA itumike...Haiwezekani mtu mmoja atese watu 300.

Yaani hawa viongozi hii nchi wanako ipeleka.....hata sipati picha. Halafu Dk. Slaa akisema hii nchi haitatawalika wanabisha.
 
Hii inaonyesha kuwa SPIKA wenu ni Mbumbumbu wa Sheria.
Hivi kweli hajui kuwa kuna sheria za Ardhi zinazotawala? Je hajui kuwa kuna mamlaka za mitaa.

Kwa kila hali lazima DIWANA ashinde kwani kama DC atashindwa kutatua mgogoro huo basi wnanchi wakiongozwa na Diwani wao wana haki kamili za kupeleka shauru hili mahakamani kupinga kufungwa kwa barabara.

makinda acha ubabe.

hicho kibibi hakina ubabe wala nini, yote haya ni kuendekeza mafisadi ya ccm tu, na mahakamani waende kufanya nni? na huo muda wa kupoteza mahakamni wanao kweli? dawa itisha nguvu ya umma, piga kiberiti hicho kibanda cha kibibi gula!

kwisha habari
 
hicho kibibi hakina ubabe wala nini, yote haya ni kuendekeza mafisadi ya ccm tu, na mahakamani waende kufanya nni? na huo muda wa kupoteza mahakamni wanao kweli? dawa itisha nguvu ya umma, piga kiberiti hicho kibanda cha kibibi gula!

kwisha habari

kama mwanansheria kuna kitu kinachoitwa STOP ORDER ( Amri halali ya mahakama kuzuia ujenzi) mpaka shauru hilo kusikilizwa mpaka kesi ya msingi kumalizika.

Kwa vile nyie tanzania mnafata utawala wa sheria basi sipendi kushauru kutumia nguvu za Umma kwani inaweza kutokea mtafaruku mkubwa na labda kupelekea uvunjifu wa amani na umwagaji damu.
 
Mh. Spika alichemka sana kuingilia eneo la hifadhi ya barabara,kama uzio wa kujenga kwa nini asingezungushia kwenye kiwanja chake tu kama wengine wanavyofanya?Kwa kifupi huu ni utumiaji mbaya wa madaraka.Kama angekuwa mwingine angeshabomolewa zamani,pengine na kushtakiwa.
 
Kama ni kwa ajili ya ujenzi tu na kwa muda fulani tu, ni haki yake kupewa kibali cha kufunga huo mtaa kwa muda. Hususan ukiwa mtaa wenyewe sio barabara kuu. Tumeona Kariakoo kila siku mitaa ikifungwa kwa ajili ya ujenzi kwa muda na baadae hufunguliwa.

Sioni mantiki ya diwani asemapo kafunga mtaa ili aongeze kiwanja, huo ni ushabiki na si uongozi.

Ikiwa kweli anaufunga kabisa huo mtaa kwa kuongeza kiwanja na huo mtaa upo kwenye mipango miji na ndio anaufunga kwa kuubadilisha matumizi kutoka mtaa kuwa kiwanja. Hapo ni kosa lakini sidhani kama ni hivyo.
 
diwani kishashinda kwa kuwa anazo support za wananchi na mimi nikiwamo!!

nchi yetu haiishi vituko, sita alipopata uspika tu tukasikia bili ya matibabu yake ikwa around tshs. 1 or 2m kwa wiki (sikumbuki vizuri), mara tukasikia kajenga ofisi ya spika jimboni kwake urambo utadhani urambo ndiyo jimbo litakalokuwa likitoa maspika wa tz milele,

sasa leo mtu mmoja kafunga barabara ili kupanua kiwanja chake!, mara eti sababu za kuisalama. osama bin laden (samahani kwa mfano huu ila nataka tu nieleweke vizuri) ndiye aliyekuwa akihitaji usalama mkubwa zaidi ya spika wa tz lakini nyumba aliyokuwa akiishi tuliona kwenye tv ikiwa na barabara kando yake!

inaonekana watz wakipata madaraka fulani tu hupata ugonjwa fulani kwa ghafla!!

yetu macho, ila for sure, nguvu ya umma itashind!

mlitegemea nini na nchi inaongozwa kikwerekwere???
 
Kama ni kwa ajili ya ujenzi tu na kwa muda fulani tu, ni haki yake kupewa kibali cha kufunga huo mtaa kwa muda. Hususan ukiwa mtaa wenyewe sio barabara kuu. Tumeona Kariakoo kila siku mitaa ikifungwa kwa ajili ya ujenzi kwa muda na baadae hufunguliwa.

Sioni mantiki ya diwani asemapo kafunga mtaa ili aongeze kiwanja, huo ni ushabiki na si uongozi.

Ikiwa kweli anaufunga kabisa huo mtaa kwa kuongeza kiwanja na huo mtaa upo kwenye mipango miji na ndio anaufunga kwa kuubadilisha matumizi kutoka mtaa kuwa kiwanja. Hapo ni kosa lakini sidhani kama ni hivyo.

Hakuna mtu anayeweza kupewa kibali cha kufunga barabara yoyote ile inayotumiwa na jamii. Inawezekana kupewa kibali cha kufunga kwa masaa kadhaa kama kuna matengenezo makubwa kama umeme, maji na vile vile kama kuna sherehe na misiba. na hivyo vinatolewa na viongozi wa mitaa hiyo navyo havitakiwi kuzidi 24 Hrs.

Suala la ujenzi wa nyumba haliwezi kufunga barabara kwani unatakiwa uweke uzio kuzuia eneo lako na kutengeneza chanja zitakazo zuia hatari zote zitokazo juu na kuacha watu waendelee kufaidi barabara zao za kijamii.

Aliofanya Spika wenu nu ubabe tu na hana mashiko yoyote kisheria.
 
Kama ni kwa ajili ya ujenzi tu na kwa muda fulani tu, ni haki yake kupewa kibali cha kufunga huo mtaa kwa muda. Hususan ukiwa mtaa wenyewe sio barabara kuu. Tumeona Kariakoo kila siku mitaa ikifungwa kwa ajili ya ujenzi kwa muda na baadae hufunguliwa.

Sioni mantiki ya diwani asemapo kafunga mtaa ili aongeze kiwanja, huo ni ushabiki na si uongozi.

Ikiwa kweli anaufunga kabisa huo mtaa kwa kuongeza kiwanja na huo mtaa upo kwenye mipango miji na ndio anaufunga kwa kuubadilisha matumizi kutoka mtaa kuwa kiwanja. Hapo ni kosa lakini sidhani kama ni hivyo.
akafunge kule TARIME aone muraa watamfanya nini?
 
mnamfatafata bibi kwa sababu:

1. yeye ni mwanamke
2. mnamwonea wivu wa cheo chake
3. anajua vifungu vya shelia ninyi hamjui


Sasa atawaonesha kwamba hammuwezi ndani na nje ya bunge!
 
Taarifa zinatuchanganya mara imefunguliwa mara imefungwa tena sasa DIWANI anazo nguvu za umma siku ya jumamosi au jumapili tuupeleke umma huo ukaifungue hiyo njia hakuna mtu au serikali itakayo izuia nguvu ya umma kutimiza matakwa yake
 
Back
Top Bottom