Giddy Mangi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 830
- 184
Kamanda tunaomba yaliyojiri Arusha kwani msipotujuza hali yenu itakuwa Mbaya.
nanyaro yupo hapa jamvini hakuna haja ya kuwa msemaji wake!Sherehe za muafaka iliendelea kama kawaida, ilihudhuriwa na watu wasiozidi 50, wengi wao wakisadikiwa kama madereva wa boda boda waliokusanywa kutoka viunga vya mji wa Arusha kwa ujira unaosadikiwa kama buku tano kwa moja. Hata Hivyo Diwani Nanyaro pamoja na Chrispine wa kata ya Sekei hawakushiriki lile zoezi la sherehe za Muafaka wa Kichina. Hali iligeuka kuwa mbaya zaidi pale Chadema wilaya ya Arusha ilipoanza kuwatangazia wananchi kwamba ule muafaka ni feki, wasirubuniwe kwa namna yoyote ile. Sherehe ilishindikana kufanyika katika ukumbi wa Manispaa, hadi wakahamia kusikojulikana. Diwani Nanyaro tulikuwa naye pale kwa Mkuu wa wilaya, hakuhudhuria ile sherehe za kipuuzi. Msimamo wake tokea mwanzo ni kwamba haafiki kuwanywa vyeo.
Anayekupa habari kama si Chitanda basi atakuwa Tambwe Hiza.Wale wote wanaopinga hiyo ndoa watafute chama chao CDM ndio wameishakubali mwafaka na saizi kuna sherehe mji mzima umejaa furaha ya ajabu, kuna jamaa yangu ananipa habari
acha kudanganya we mama. Kwanza hauko Arusha wewe. Hakuna cha sherehe wala mama yako. Nasema hivyo kwasababu sina neno lingine la kukuambia mpuuzi wewe! Hivi Nape anakulipa sh ngapi?Wale wote wanaopinga hiyo ndoa watafute chama chao CDM ndio wameishakubali mwafaka na saizi kuna sherehe mji mzima umejaa furaha ya ajabu, kuna jamaa yangu ananipa habari
dawa ya mnafiki,nimeipenda hii mkuu.acha kudanganya we mama. Kwanza hauko Arusha wewe. Hakuna cha sherehe wala mama yako. Nasema hivyo kwasababu sina neno lingine la kukuambia mpuuzi wewe! Hivi Nape anakulipa sh ngapi?
Ndugu yangu mimi sio mwana CCM mimi ni mpenda amani wewe niite vyovyote utakavyopenda, hizi habari napewa na mtu kutoka Arusha, mimi kijijini kwetu, Mji wa Arusha umerindima kwa furaha watu wanapongezana wanakunywa pamoja hongereni wana Arushaacha kudanganya we mama. Kwanza hauko Arusha wewe. Hakuna cha sherehe wala mama yako. Nasema hivyo kwasababu sina neno lingine la kukuambia mpuuzi wewe! Hivi Nape anakulipa sh ngapi?
Na ndoa ya CDM na CCM kwa nini ujaipenda wakati imeleta mshikamano Arushadawa ya mnafiki,nimeipenda hii mkuu.
Na ndoa ya CDM na CCM kwa nini ujaipenda wakati imeleta mshikamano Arusha
Wale wote wanaopinga hiyo ndoa watafute chama chao CDM ndio wameishakubali mwafaka na saizi kuna sherehe mji mzima umejaa furaha ya ajabu, kuna jamaa yangu ananipa habari
Nanyaro ni kamanda wa ukweli,habari za uhakika ni kuwa huyu kamanda ameshiriki sana kuharibu mbinu zote zilizopangwa leo,anaonekana kuwa na element za kijasusi
jamaa yako huyo atakuwa ni muongo sana, we mchunguze vizuri....Wale wote wanaopinga hiyo ndoa watafute chama chao CDM ndio wameishakubali mwafaka na saizi kuna sherehe mji mzima umejaa furaha ya ajabu, kuna jamaa yangu ananipa habari