Giddy Mangi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 830
- 184
Ndugu wanajamvi jana nimepata kuona wananchi wakiwa na jazba na hamasa kubwa kumwona Mh Japhet Nanyaro diwani wa kata ya Levolosi (CHADEMA) akitembea kwa mguu maeneo ya stand ya viford huku kundi kubwa la wananchi vijana,wazee na kinamama akimwimbia "mkombozi mkombozi mkombozi" nikabaki nashangaa ndio nikagundua yote yalitokana na Msimamo wake kwenye Makubaliano waliyofikia madiwani wa Chadema na ccm yeye alikataa kushiriki na yeye hadi sasa anasema wazi Hamtambui Meya wala Naibu Meya.Hii nimeipenda sana viongozi kuwa na msimamo,NAOMBA KUWASILISHA.