Diwani Japhet Nanyaro mkombozi

Giddy Mangi

JF-Expert Member
Feb 14, 2011
830
184
Ndugu wanajamvi jana nimepata kuona wananchi wakiwa na jazba na hamasa kubwa kumwona Mh Japhet Nanyaro diwani wa kata ya Levolosi (CHADEMA) akitembea kwa mguu maeneo ya stand ya viford huku kundi kubwa la wananchi vijana,wazee na kinamama akimwimbia "mkombozi mkombozi mkombozi" nikabaki nashangaa ndio nikagundua yote yalitokana na Msimamo wake kwenye Makubaliano waliyofikia madiwani wa Chadema na ccm yeye alikataa kushiriki na yeye hadi sasa anasema wazi Hamtambui Meya wala Naibu Meya.Hii nimeipenda sana viongozi kuwa na msimamo,NAOMBA KUWASILISHA.
 
Ndugu wanajamvi jana nimepata kuona wananchi wakiwa na jazba na hamasa kubwa kumwona Mh Japhet Nanyaro diwani wa kata ya Levolosi (CHADEMA) akitembea kwa mguu maeneo ya stand ya viford huku kundi kubwa la wananchi vijana,wazee na kinamama akimwimbia "mkombozi mkombozi mkombozi" nikabaki nashangaa ndio nikagundua yote yalitokana na Msimamo wake kwenye Makubaliano waliyofikia madiwani wa Chadema na ccm yeye alikataa kushiriki na yeye hadi sasa anasema wazi Hamtambui Meya wala Naibu Meya.Hii nimeipenda sana viongozi kuwa na msimamo,NAOMBA KUWASILISHA.

Ni muhimu wananchi hao kuendelea kumuunga mkono diwani wao kwakuwa hawakumchagua ili akagawane vyeo bali kupigania maendeleo yao kwa njia inayokubalika kisheria na kikanuni.

Nawapongeza wananchi wa levolosi kwa kuchagua diwani makini.
 
Mbona kama Hili Jina la Nanyaro ndiyo nimeona ni la diwani aliyeshiriki?? Hebu nikachimbe upya..sielewi elewi!
 
Naomba kusahihisha kwamba anaitwa Efatha Nanyaro. Ni diwani wa Levolosi na member wa JF. Natumain ataiona hii thread na kuchangia hoja. Alikuwa mmoja kati ya waliochaguliwa kuunda kamati ya muafaka katika hatua za awali na nilipoongea nae juzi alinieleza kutokukubaliana na huu muafaka kwa kuwa haukuzingatia makubaliano, majadiliano wala mapendekezo waliyokuwa wameyafanya katika hatua za awali. Nadhani wananchi wake wanamshangilia kwasababu wanakubaliana na msimamo wake!
 
Back
Top Bottom