wakubwa natumai mko cool. Kuna dogo mmoja kaniambie leo asubuhi post za suggestions za shule zimetoka.cha ajabu waliopiga 4 ya 26,27 wamechaguliwa. Wana jf kuna ukweli juu ya hili?
Wakubwa natumai mko cool. Kuna dogo mmoja kaniambie leo asubuhi post za suggestions za shule zimetoka.Cha ajabu waliopiga 4 ya 26,27 wamechaguliwa. Wana jf kuna ukweli juu ya hili?
hiki kitu hakuna na kama kipo basi elimu ya tz ndo inakufa!!! div four uende advance?? serious???Wakubwa natumai mko cool. Kuna dogo mmoja kaniambie leo asubuhi post za suggestions za shule zimetoka.Cha ajabu waliopiga 4 ya 26,27 wamechaguliwa. Wana jf kuna ukweli juu ya hili?