Divide and rule?

Divide and rule?

Unajichekeshachekesha hapa unadhani tunagawa kondomu za bure humu? Humu ni mazungumzo tu na elimu, zinaa ni hukohuko kwenu Rwanda.
Great thinker[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] ..kweli afrika tumelaaniwa.
 
Unakimbia nini mkuu ? Just relax brother, madame victoire is giving you the reality.

Ile simu yako yenye keyboard ya kifaransa iko wapi siku hizi na wewe uvunje yai la kifaransa hapa jukwaani.,hahah
 
Ile simu yako yenye keyboard ya kifaransa iko wapi siku hizi na wewe uvunje yai la kifaransa hapa jukwaani.,hahah
Upo we kiumbe dhaifu? Naona mnarudi kwa kasi jukwaani, kwani kondomu za bure zimeisha?
 
Upo we kiumbe dhaifu? Naona mnarudi kwa kasi jukwaani, kwani kondomu za bure zimeisha?

Nipo dada, umesahau boks la mwisho la kondom nimelimalizia kwako jana kwa kukuchoresha 7 fasta. Leo nachukua boks nyingine 2 za TATU BOMBA UNAPENDELEA yenye ladha ipi strawberry au nanasi?
 
Teh teh teh hiyo karibu ni ya kutoka moyoni au ni mawenge tu.

Ila msije mkanifikishia lupango maana nyie ndio huwa tabia zenu hizo.

ni ya kutoka moyoni mkuu! hakuna atakaye kufunga... labda na wewe ujifanye umekuja kikazi kama yule mama waki-Holanzi au ujifanye kurudia mistari ya jMali ya kwenye JF! vinginevyo lazima utapapenda/utatupenda! tena umepitwa leo huku tulikuwa tuna emjoy CAR-FREE-DAY! take a look...
CjnHSc0VAAQebSf.jpg


CjnHU9lUgAEOjC2.jpg


CjnWTzZXIAAzrCy.jpg


CjnD_vmXIAA0yhm.jpg


Cjm_Et7UYAAyTrj.jpg
 
ni ya kutoka moyoni mkuu! hakuna atakaye kufunga... labda na wewe ujifanye umekuja kikazi kama yule mama waki-Holanzi au ujifanye kurudia mistari ya jMali ya kwenye JF! vinginevyo lazima utapapenda/utatupenda! tena umepitwa leo huku tulikuwa tuna emjoy CAR-FREE-DAY! take a look...
CjnHSc0VAAQebSf.jpg


CjnHU9lUgAEOjC2.jpg


CjnWTzZXIAAzrCy.jpg


CjnD_vmXIAA0yhm.jpg


Cjm_Et7UYAAyTrj.jpg
Unawaumiza moyo bure...@jmali kalala baa halafu analalamika eti kufanya usafi katiba inaruhusu? Uchafu uko kwenye DNA yake
 
Huyo Ange anasoma hapo au?

Hapana Braza.
Yule hawezi kusoma pale, High School tu kasoma Marekani Chuo ndiyo asome pale?
Anasoma Political Science SMITH COLLEGE huko Massachusetts.

Hivi ndugu yangu mchambawima1 mbona kipindi kile Kagame alikuwa anamficha sana binti yake?
Na kwanini shule asisome Rwanda?
 
Anaandaliwa kuja kuwa mtawala huyo. Nimejaribu kuangalia video zake na yeye anajaribu kuelezea matukio ya kisiasa nchini kwao baada ya mauaji ya kimbari.


Hili swali hawawezi kukujibu. Ni makosa kusema mambo yanayomuhusu binti mfalme.

Teh teh teh teh!
 
Back
Top Bottom