Divide and rule?

Divide and rule?

OMG! IMBONERAKURE kumbe fujo zote mnazifanya kwa sababu Wahutu peke yao ndio waliopelekwa Arusha? hii ni ya mwaka! kule hawajapelekwa wahutu wala watutsi... wamepelekwa wa harifu(X-tremist) sasa kama bado kuna x-tremist wakitutsi waliojificha na unajuwa walipo tafadhali tufahamishe! ku debate na nyie kazi sana kwani sera zenu ni ukabila tu mpaka mnawalewesha watu bila kujuwa hebu ona Masunga Maziku na MALCOM LUMUMBA chali! nyie bana...
Ndio maana tunaiambia dunia kuwa, kwa mujibu wa sera za Rwanda, interahamwe ni wahutu. Halafu, genocidire ni wahutu hiyo ndio sera ya watusi wa Rwanda na Burundi. Kwa kuwa umenitaka niwataje watusi waliofanya genocide, nitamtaja mmoja tu ili kuweka ushahidi wa niyasemayo. Robert Kajuga ni mtusi na alishiriki tena kwa kuongoza mauaji ya kimbari. Nafahamu unawajua watusi wengi tu walioshiriki mauaji wakati wa vita na baada ya vita lakini wote ni senior officers in your government. Acheni kutufanya wote hatujui historia wala muyatendayo. Watusi ni wakabila na wakabila ni watusi.
 
Ndio maana tunaiambia dunia kuwa, kwa mujibu wa sera za Rwanda, interahamwe ni wahutu. Halafu, genocidire ni wahutu hiyo ndio sera ya watusi wa Rwanda na Burundi. Kwa kuwa umenitaka niwataje watusi waliofanya genocide, nitamtaja mmoja tu ili kuweka ushahidi wa niyasemayo. Robert Kajuga ni mtusi na alishiriki tena kwa kuongoza mauaji ya kimbari. Nafahamu unawajua watusi wengi tu walioshiriki mauaji wakati wa vita na baada ya vita lakini wote ni senior officers in your government. Acheni kutufanya wote hatujui historia wala muyatendayo. Watusi ni wakabila na wakabila ni watusi.
na sasa yuko wapi? good luck with garbage!
 
bahati nzuri una kawaida ya kujichanganya na kuishia kuthibitisha nilichosema. Asante maana kila mtu anaona jinsi ulivyo na chuki.
jMali you walk a very fine line not to destroy yourself or to reveal who you are! MALCOM LUMUMBA mentor wenu ukiacha ukabila ni kiboko! hebu cheki hapo juu alivyonipiga kikumbo... kwa kifupi, nimeandika msemo hovyo-hovyo kusudi nimtoe pangoni, ila cheki alivyonijibu, "UTHIBITISHO"... wa nini? kamezea! watu kama nyinyi hamtoelewa kamwe mtaishia kupiga vigelegele tu huku Interahamwe zikifikiri wanayo fanya, yanafurahisha...
 
hahahhahahhhh, huku sio kwa Nkurumbi wewe!
Nkurunziza ni smart sana brother, huoni alivyowachomolea mpango wenu wa kumuua mh. Jakaya Kikwete? Leo warundi wanayaona matunda ya ushirikiano wa Tanzania na Burundi. Mme plan mapinduzi Burundi, mkachomolewa mbavuni, saahizi mnajifanya kumvuta mh. Magufuli akubaliane na ujinga wenu kuhusu Burundi, hamtaweza. Sikiliza, watanzania ni warundi na warundi ni watanzania. Tuna undugu wa damu kabisa, mfano mmoja tu ni madame victoire ameolewa na mrundi. Victoire ni msukuma na mumewe ni muhutu wa Burundi, huna namna ya kutuchonganisha. Utakufa na kihoro mkuu.
 
Back
Top Bottom