Mkare_wenu JF-Expert Member Mar 11, 2011 1,714 442 May 27, 2011 Thread starter #21 KakaJambazi said: We unatakaje? Wanaosomea mapishi hawana wazazi? Acha kumpa umaarufu asio stahili. Yaani tuache kujadili hatma ya nchi tumjadili mtu asiyejua kupika? Click to expand... Unaijua nchi we kende?
KakaJambazi said: We unatakaje? Wanaosomea mapishi hawana wazazi? Acha kumpa umaarufu asio stahili. Yaani tuache kujadili hatma ya nchi tumjadili mtu asiyejua kupika? Click to expand... Unaijua nchi we kende?
pauline JF-Expert Member Dec 26, 2010 650 140 May 27, 2011 #22 hata mie sijui kupika ugali,hata mboga nabahatisha :biggrin1:
Dr Lizzy Platinum Member May 25, 2009 30,821 59,428 May 27, 2011 #24 Kwani lazima wote tujue kupika?!Mwacheni labda anajua mambo mengine ya muhimu zaidi.....!
golwebo_mkuu JF-Expert Member Mar 31, 2011 2,271 688 May 27, 2011 #25 kwan asiyejua kupika ni yeye peke yake? au kwa kuwa ni mtangazaji? mesista duu kibao wachovu jikoni
Mamushka JF-Expert Member Feb 17, 2010 1,595 99 May 28, 2011 #26 Wai cha muhimu mi najua kupika basi. huyo ajue asijue kivyake hata akijua hatakuja kunipikia kwetu.
N Ninaweza JF-Expert Member Dec 14, 2010 12,032 6,787 May 28, 2011 #27 "kupika" au alikuwa na maana tofauti?