DIT na UDSM which is best in engineering

DIT na UDSM which is best in engineering

Chuo gani hicho usichokitaja vicje kuwa vya uchochoroni ukimaliza hutambuliki na serikali
 
Tuma majina yako kamili halafu unambie unasoma nini na mwaka wa ngapi upate mkopo asilimia mia
 
Kwenye soko la ajira DIT ni zaidi! Wana vyote! Ni mainjinia na mafundi pia, lakini Udsm ni mainjinia tu!
Majiri anapenda yule ambaye ni fundi na Injinia!
 
Back
Top Bottom