DIT na MUST Kulikoni

DIT na MUST Kulikoni

Habari wakuu
Kwa wanao vijua hivi vyuo viwili DIT na MUST heb tunaomba mtujulishe mwaka wa masomo 2016/17 unaanza lini ili tusijichoshe sana kusubir selection kumbe kitu ni mwezi huu mwishoni
Asante
Ingia kwenye website zao. Utaona kalenda zao.
 
1475351326673.jpg
 
DIT mwaka wa kwanza nadhani wataanza reg kwenye tar 29
 
Habari wakuu
Kwa wanao vijua hivi vyuo viwili DIT na MUST heb tunaomba mtujulishe mwaka wa masomo 2016/17 unaanza lini ili tusijichoshe sana kusubir selection kumbe kitu ni mwezi huu mwishoni
Asante

Brother kwa Dit,Must na Atc jinsi diploma holders wanavyocheleweshwa na Nacte na ndivyo wanavyochelewa kutoa maana vyuo vya ufundi kwao diploma holders nikama unavyoona form six wanavyochukuliwa na vyuo kama Udsm,Udom,Aru,Muhas etc
 
Brother kwa Dit,Must na Atc jinsi diploma holders wanavyocheleweshwa na Nacte na ndivyo wanavyochelewa kutoa maana vyuo vya ufundi kwao diploma holders nikama unavyoona form six wanavyochukuliwa na vyuo kama Udsm,Udom,Aru,Muhas etc
Ok brother ngoja tusubiri
 
Hakika hivyi vyuo nahisi havichukui wanafunzi wa degree mwaka huu, duuuuh
 
MUST kuna shida gani?Wanafungua keshokutwa afu hawajatoa majina mpaka leo?Hii si hatari sasa
 
Back
Top Bottom