Diss Tracks: Rapcha vs Dizasta Vina

Diss Tracks: Rapcha vs Dizasta Vina

Chura

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2009
Posts
1,424
Reaction score
2,519
Rapa rapcha aliye chini ya mkongwe baba la manyani P Funk aka Majani majuzi aliachia Diss track inayoitwa STORY NYINGINE akiwaponda wasanii wa hip hop kadhaa, mmoja wa wasanii aliyepondwa ni Mkali wa kuflow kama anaongea Dizasta Vina.

Kwenye Disi hilo Rapcha kamchana Dizasta kwenye mstari ambao anasema
"
Shida unaniskiza huku unarembua ndo utafail
Now your whole story sounds like a stupid tale"

Dizasta akaona dogo usinitanie mwamba akazama booth akachoronga bomu la dk nane aliloiita BEST FRIEND, humo ndani mtu kachanwa huku akikanywa na line iliyobamba ni pale Viteller anakwambia
"Badala ya kuanza kulalamika kwenye kila pini

Chagua kufanya au chagua kuweka mpira chini
Maana kila mbuyu mkubwa una kila jini
Si uungwana wakikuudhi ukiniletea hasira mimi" Dizasta kuongelea Rapcha kama rafiki anayemchukia mtu asiyemchukia .

Baada ya diss crap back Rapcha kaingia Booth kaachia mkwaju NYUCLEAR STORY wataalamu wa hip hop akiwemo One the incredible wanadai dogo kaandika mambo mepesi sana kawa too emotional katukana nyimbo nzima hakuna bars ila bra bra.

Isikize ngoma mwanao chura nakuunganishia hapo chini afu tusimezane ni Rapcha kakurupuka kumjibu Dizasta Vina ama jiwe aliloachia ni pini???
 

Attachments

  • Rapcha - Nyu'clear Story Freestyle.mp3
    Rapcha - Nyu'clear Story Freestyle.mp3
    4.4 MB
  • Screenshot_20230112-145053_Poweramp.jpg
    Screenshot_20230112-145053_Poweramp.jpg
    163.7 KB · Views: 74
Nimeiskliza Ngoma ya Rapcha, actually ni nzuri kwa sababu rahisi lakini pia ina sound good, na hicho ndio watu hupenda, watu hawapendi vitu vinavyofikirisha Akili

Dogo ana machaguzi mazuri ya beat pamoja na rap style ila anakosa content tu, ndomana hapo juu jamaa kasema wengine wamesema amechana utoto utoto

Kwa Dizasta vina huko panakosekana Beat nzuri na rap style ila ndio kuna content, ukiskiliza "Best friend" utagundua kuwa haukuwa wimbo mahsusi kwa ajili ya Rapcha japokuwa aliguswa kidogo sana

Best friend ilikuwa inaongelea aina za marafiki na ndugu ambao tunaishi nao kila siku pamoja na kwamba wana tusnich ila tunaongea nao kama kawaida kitu ambacho kina ukweli kwa %

Aliongelea washkaji ambao hawapendi kuona unapiga hela, japokuwa mnashinda pamoja ila ikija mishe ya pesa wanakwepesha na hawataki kuona unapata

Anaongelea washkaji ambao wao ni uvivu tu na kupenda vya kitonga ila kazi hawataki, wao wanachojali ni kudhadharirisha wanawake utadhani wao hawatakuja kuwa na watoto wa kike

Anaongelea kuhusu yeye kuwa ni binadamu na kama ilivo kwa wanadamu wengine kuwa ni dhaifu kwahiyo ata yeye anakosea, ata yeye sio mkamilifu

Kama tujuavyo kuhusu tambo za hip hop, pia jamaa anamwambia Rapcha kwamba yeye sio level zake, hayupo katika ushindani wake,Dizasta vina huwenda wasanii ambao yeye anaona wanakaa chungu kimoja LABDA ni the likes of The incredible,Mbishi,Songa,Sterio,Young killer nk

Kiufupi jamaa ameandika Mambo mengi sana ambayo yanaongelea tabia za wanadamu tulivo akiwemo yeye mwenyewe na hakujikita katika kumchana Rapcha, Ukiskliza Best friend hutoishia kuburudika bali utajifunza kitu/vitu

kinachomponza Dizasta vina ni kutaka kupeleka ujumbe/mafundisho kwa Hadhira kwenye kila anachokiandika kwa sababu ni wazi jamaa anatumia Akili nyingi sana katika uandishi wake

Kwakuwa kwenye best friend alisema hii sio Diss bali ni Clarification na kama dogo ataamua kuchagua vita basi ndio itakuja diss, since Rapcha ameamua kuchagua vita basi Acha tusubiri Diss rasmi sasa

Hii imeturudisha nyuma kidogo wakati Motra kawachana KIKOSI KAZI, palichangamka sana maana alikuja Mexcana na balaa la Amkia wakubwa kama haitoshi akatoka na P mawenge na Future wife na akafunga biashara
 
Nimeiskliza Ngoma ya Rapcha, actually ni nzuri kwa sababu rahisi lakini pia ina sound good, na hicho ndio watu hupenda, watu hawapendi vitu vinavyofikirisha Akili

Dogo ana machaguzi mazuri ya beat pamoja na rap style ila anakosa content tu, ndomana hapo juu jamaa kasema wengine wamesema amechana utoto utoto

Kwa Dizasta vina huko panakosekana Beat nzuri na rap style ila ndio kuna content, ukiskiliza "Best friend" utagundua kuwa haukuwa wimbo mahsusi kwa ajili ya Rapcha japokuwa aliguswa kidogo sana

Best friend ilikuwa inaongelea aina za marafiki na ndugu ambao tunaishi nao kila siku pamoja na kwamba wana tusnich ila tunaongea nao kama kawaida kitu ambacho kina ukweli kwa %

Aliongelea washkaji ambao hawapendi kuona unapiga hela, japokuwa mnashinda pamoja ila ikija mishe ya pesa wanakwepesha na hawataki kuona unapata

Anaongelea washkaji ambao wao ni uvivu tu na kupenda vya kitonga ila kazi hawataki, wao wanachojali ni kudhadharirisha wanawake utadhani wao hawatakuja kuwa na watoto wa kike

Anaongelea kuhusu yeye kuwa ni binadamu na kama ilivo kwa wanadamu wengine kuwa ni dhaifu kwahiyo ata yeye anakosea, ata yeye sio mkamilifu

Kama tujuavyo kuhusu tambo za hip hop, pia jamaa anamwambia Rapcha kwamba yeye sio level zake, hayupo katika ushindani wake,Dizasta vina huwenda wasanii ambao yeye anaona wanakaa chungu kimoja LABDA ni the likes of The incredible,Mbishi,Songa,Sterio,Young killer nk

Kiufupi jamaa ameandika Mambo mengi sana ambayo yanaongelea tabia za wanadamu tulivo akiwemo yeye mwenyewe na hakujikita katika kumchana Rapcha, Ukiskliza Best friend hutoishia kuburudika bali utajifunza kitu/vitu

kinachomponza Dizasta vina ni kutaka kupeleka ujumbe/mafundisho kwa Hadhira kwenye kila anachokiandika kwa sababu ni wazi jamaa anatumia Akili nyingi sana katika uandishi wake

Kwakuwa kwenye best friend alisema hii sio Diss bali ni Clarification na kama dogo ataamua kuchagua vita basi ndio itakuja diss, since Rapcha ameamua kuchagua vita basi Acha tusubiri Diss rasmi sasa

Hii imeturudisha nyuma kidogo wakati Motra kawachana KIKOSI KAZI, palichangamka sana maana alikuja Mexcana na balaa la Amkia wakubwa kama haitoshi akatoka na P mawenge na Future wife na akafunga biashara
Naona umemaliza mkuuu

Raptcha anaflow ya kuvutia sana na beats nzuri kutoka Kwa majani, ile nyimbo ni nzuri kuisikiliza ila hamna contents za kumskasirisha mtu

Lakini maana halisi ya diss ni maneno ya shombo, kwenye best friend raptcha kapakwa mavi mwili mzima
 
Eti, "Nilikuona fala ulipodiss kanisa lako. ...hujui mwili ni hekalu..." Sasa haya mashairi si ya kitoto. Mtazamo wa mtu asiyekomaa akili.
 
Kinachotokea kwa Disasta na Rapcha, ni marudio ya Eminem na MGK.

MGK alionywa mapema kabisa. 50 cents akamwambia "nice song, but you're messing with the wrong guy". Ndicho kilichotokea. Eminem hakujali beats zenye mvuto, wala flow ya kuremba, he just destroyed MGK Lyrically!

Naona pia ndicho alichokifanya Disasta kwenye best friend. Yeye amejikita kwenye mashairi na content, habari ya beats na flow kamuachia dogo ahangaike nazo mwenyewe.

Sidhani kama Disasta atajibu hii diss ya pili. Sioni kama ni battle ya level yake. Itakua kama Tyson Furry kuvimbiana na Mandonga, it's a waste of time!

Fair battle kwa Disasta ni atakapopambana na na MC's design ya One the incredible au P Mawenge. Hapo lolote laweza kumkuta. Rapcha ni level za akina Lunya na Motra.

Simshauri Disasta kujibu tena diss za huyo dogo!
 
Badala ya kuanza kulalamika kwenye kila pini
Chagua kufanya au chagua kuweka mpira chini
Maana kila mbuyu mkubwa una kila jini
Si uungwana wakikuudhi ukiniletea hasira mimi
Uongo uongo uongo huo ni uongo

Mstari aliomchana ni

Nimeshadiss hadi kanisa langu MSENGE haukumbuki?/
Unataka niue mende kwa bunduki?

Naenda kamsikilize tena.....
 
Uongo uongo uongo huo ni uongo

Mstari aliomchana ni

Nimeshadiss hadi kanisa langu MSENGE haukumbuki?/
Unataka niue mende kwa bunduki?

Naenda kamsikilize tena.....
Pamoja sana Mkweli.
 
Nimeiskliza Ngoma ya Rapcha, actually ni nzuri kwa sababu rahisi lakini pia ina sound good, na hicho ndio watu hupenda, watu hawapendi vitu vinavyofikirisha Akili

Dogo ana machaguzi mazuri ya beat pamoja na rap style ila anakosa content tu, ndomana hapo juu jamaa kasema wengine wamesema amechana utoto utoto

Kwa Dizasta vina huko panakosekana Beat nzuri na rap style ila ndio kuna content, ukiskiliza "Best friend" utagundua kuwa haukuwa wimbo mahsusi kwa ajili ya Rapcha japokuwa aliguswa kidogo sana

Best friend ilikuwa inaongelea aina za marafiki na ndugu ambao tunaishi nao kila siku pamoja na kwamba wana tusnich ila tunaongea nao kama kawaida kitu ambacho kina ukweli kwa %

Aliongelea washkaji ambao hawapendi kuona unapiga hela, japokuwa mnashinda pamoja ila ikija mishe ya pesa wanakwepesha na hawataki kuona unapata

Umechambua vyema mkuu ngoja nkaidownload
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom