Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 33,764
- 40,506
View attachment 168874
Ndugu zangu, nimetoka kuwasilisha rasmi fomu ya maombi ya kugombea nafasi ya Urais wa TUCTA....hapa naikabidhi fomu kwa Katibu Mkuu wa COTWU Kanda ya Dar Es Salaam, Musa Mwakalinga, atakayeiwasilisha TUCTA.
uchaguzi utafanyika Agosti 4..5, 2014,Dodoma
source: fb page yake
Anachukua nafasi ya Nicholas Mgaya nini?