mkumbwa junior
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 808
- 1,542
Hivi kwa nn siku hizi tukienda disco haipigwagi blues?
Ukute ulienda peke yako bila mupenzi halafu muda wa blues ufike utaona mtu anazunguka kona zote, utasema midfield kishet, anahaha kuangalia msichana gani yuko pekee, mwisho anatoka nje kwenye kibanda cha kukatia ticket kama kuna anayeingia alone umuwahi.
.
Maana ukimpata muda wa blues hakuna kuongea tena, ndio ushakuwa mmiliki. Kukumbatiana kucheza ilikuwa kitu cha thamani sana....yaani full midenda...kupapasa kama kote unaenda mpaka kusikoendeka lol nimekumbuka sana zamani
.
Nipe hadithi yako;
︎Ulikuwa unamuanzaje mdada ambaye hukuja nae ili mcheze blues? Maana unaweza kuja nae na akasema anaona aibu au hajawahi au anaogopa au hawezagi........
︎Wimbo gani ulikuwa unakubamba sana ktk mbambiano?
︎Huko kwenu lipi lilikuwa disco kali?
︎Unaweza kumbuka viwalo vilivyosha miaka hiyo
︎Tuongee, tukumbuke
.
Ukute ulienda peke yako bila mupenzi halafu muda wa blues ufike utaona mtu anazunguka kona zote, utasema midfield kishet, anahaha kuangalia msichana gani yuko pekee, mwisho anatoka nje kwenye kibanda cha kukatia ticket kama kuna anayeingia alone umuwahi.
.
Maana ukimpata muda wa blues hakuna kuongea tena, ndio ushakuwa mmiliki. Kukumbatiana kucheza ilikuwa kitu cha thamani sana....yaani full midenda...kupapasa kama kote unaenda mpaka kusikoendeka lol nimekumbuka sana zamani
.
Nipe hadithi yako;
︎Ulikuwa unamuanzaje mdada ambaye hukuja nae ili mcheze blues? Maana unaweza kuja nae na akasema anaona aibu au hajawahi au anaogopa au hawezagi........
︎Wimbo gani ulikuwa unakubamba sana ktk mbambiano?
︎Huko kwenu lipi lilikuwa disco kali?
︎Unaweza kumbuka viwalo vilivyosha miaka hiyo
︎Tuongee, tukumbuke
.