kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,000
- 17,909
Utapata channel ngapi maana sio wote tunapenda madishi ya futi 6 au futi 8
Kuna mtu anatumia madishi madogo ya KU band atuambie yeye anapata channel ngp? ukiwa na receiver kama freesat ,mediacom na nyinginezo?
Haya madishi madogo ya KU band unapaswa kuwa na cm ngp? Mfano kuna ya cm 60, cm 75, cm 90,?
Dish lipi zuri linafaa kutumika kati ya la azam, startimes, continental au zuku?
Mfano wa dish la KU band
Karibuni tujifunze wakuu napenda kufahamu hayo
Kuna mtu anatumia madishi madogo ya KU band atuambie yeye anapata channel ngp? ukiwa na receiver kama freesat ,mediacom na nyinginezo?
Haya madishi madogo ya KU band unapaswa kuwa na cm ngp? Mfano kuna ya cm 60, cm 75, cm 90,?
Dish lipi zuri linafaa kutumika kati ya la azam, startimes, continental au zuku?
Mfano wa dish la KU band
Karibuni tujifunze wakuu napenda kufahamu hayo