Dira ya Maendeleo ya Taifa 2025 (Tanzania Development Vision 2025)...

Mbu

JF-Expert Member
Jan 11, 2007
12,753
7,846

ili kukabiliana na Kiwango cha ongezeko la idadi ya watu kinachokua kwa asilimia 2.9 ili uchumi wa nchi uweze kukua kwa kiwango kisichopungua asilimia 8.
1. Wagonjwa wa UKIMWI wasipewe dawa za kurefusha maisha ili kuondoa mzigo kwa taifa, nalo kuwa fundisho tosha kwa wapenda ngono wajigharamie wenyewe matibabu.
2. Kila familia mwisho (kuzaa) watoto wanne. Watoto wawili wa kwanza (Bonus yao) wasomeshwe bure mpaka chuo kikuu.
3. Ruksa kuoa, au kuolewa kwa mujibu wa itikadi za dini yako, lakini wembe ni huo huo, hakuna kuzaa zaidi ya watoto wanne!!!
4. Ili kukabiliana na idadi ya wahamiaji 'haramu' nchini, kila mmoja wao atalazimika kulipia 100% ya huduma za jamii anazostahiki Raia, mfano hospitali, shule, vyuo, nk
5. Ili kudhibiti tatizo la familia za Omba omba ambao kuzaana kwao ni ajira ya pili, serikali kwa kushirikiana na ustawi wa jamii iwanyang'anye watoto hao, kisha wapelekwe kwenye vituo maalumu ambavyo vitakuwa vinawatayarisha kielimu ili hao watoto/vijana kuwa taifa bora la kesho bila kutegemea fedha za 'wahisani'.

wajemeni, mtaoniona 'mkatili' huu ni mgongano wa mawazo tu... nauchukia mno umaskini wetu wa kujitakia!

2025 ni miaka kumi na nane tu ijayo hapo mbele

ENGLISH VERSION

SWAHILI VERSION
 
Awali ya yote ningependa sote tufahamu kuwa siasa ni huduma, kwa hiyo mwanasiasa ni mhudumu!! Wanasiasa acheni uongo! Fanyeni kazi na ionekane!! Siasa sio uongo na maneno ya mzaha mzaha! Politics is all about service! Wananchi na viongozi tufanye kazi kwa bidii yote na ifikapo mwaka 2025 tutakuwa na uchumi imara! Hatutakuwa a middle income country tu! Katika lile kundi la middle income countries tutaongoza! Tutakuwa a great nation and an affluent one too! Lets keep our hopes alive but work hard too! God bless Africa
 
TANZANIA IMESHINDWA VISION 2025.!!
Sababu hizi hapa:
[1].imebaki miaka 13 tufike 2025.!!!
[2].hatujajenga barabara za mwaka 2025;kama sasa barabara pana,huduma za kukidhi idadi ya watu.
[3].Jamii itakuwa 'frustrated',nchi inaongozwa na kiongozi mmoja miaka 10, nchi badala ya kukua kiuchumi,na maendeleo badala yake inarudi nyuma(TAFAKARI UONGOZI TULIONAO KWA SASA).
[4].Rais ajaye ,hatakuwa anajenga nchi bali atakuwa anarekebisha makosa ya MTANGULIZI WAKE.!!!!!
[5].Viongozi hawapendi kukubali ukweli,ili kupitia mapango huu upya,MATOKEO YAKE wanasubiri,muda ukifika watafute VISINGIZIO(tumeshindwa hata hatujaimaliza safari ya 2025).!!!
[6].Tunasubiri ,TUJIFUNZE KUTOKANA NA MAKOSA,badala ya KUREKEBISHA MAKOSA mapema.
 
Viongozi wana vyeo vingi watawezaje kuhimili kama cheo kimoja kimemshinda?
 
If I were a ruler or someone influencial, would make sure emphasis is put on attaining the vision 2025 goals so that by 2015 (leave alone 2025) figures and physical realities would express themselves. Unfortunately we never hear big potatoes refer to vision 2025 because they know that the pace they are moving is less than that of chameleon. I urge rulers to stick to vision, not dealing with opposition parties, otherwise Tanzania has finished
 
Habarini waungwana.. Naomba mwenye copy ya Dira ya maendeleo ya Taifa 2025 (version ya kiswahili) anipatie au anipe link nidownload mwenyewe. ASANTENI
 
Katika kongamano la Taasisi za kidini nchini, lililofanyika Whitesand mgeni rasmi akiwa Dr J.M Kikwete rais wa J.M Tanzania, Waziri mwenye dhamana ya Madini yetu Prof. Muhongo ametuhakikishia kwamba kufikia mwaka 2025 Tanzania itakuwa imetoka kwenye umasikini nakuwa kwenye kiwango chakati.. Akisema kwakujiamini kuwa Kilimo ambao ndio uti wa mgongo umeshindwa kutukomboa, ufugaji umeshindwa pia, kasema yeye mtu wakanda ya Ziwa uvuvi nao haujawakomboa. Lakini Neema hii ya Gesi asilia itatutoa kwenye umasikini kwani wizara yake haina Mlarushwa, Hakuna Mhaini wala Mlaghai pale Wizarani kwake.
Kwahyo wadau tuombe Mungu mipango iende sawa.
 
Sio tukae tuombe Mungu tu,tunataka matunda ya gesi na mafuta kila mtanzania ayaone na kuneemeka nayo. Kwa kuanzia,bei ya umeme ishuke haraka sana! Ndipo tutaelewana.
 

nakumbuka mwanzoni mwa miaka ya 2000.gazeti la RAI liliandika makala moja ikisema TANZANIA ITAKUWA KAMA UJERUMANI IFIKAPO 2050
 
Sio tukae tuombe Mungu tu,tunataka matunda ya gesi na mafuta kila mtanzania ayaone na kuneemeka nayo. Kwa kuanzia,bei ya umeme ishuke haraka sana! Ndipo tutaelewana.


Mkuu swat nimekusoma vizuri kuwa niwajibu wetu kuhakikisha tunapata matunda ya Gesi hata kama sio mimi na wewe lakini hata kwa vizazi vinavyokuja..
Lakini usisahau pia M/Mungu ni mjuzi wa wote kwa yote na tunapaswa kumuomba mipango yetu tuliojiwekea inakwenda sawa.
 
Haya yatawezekana sana mkuu, ili upate picha zaidi hebu angalia facts alizozitoa mwandishi maarufu Charles Onyango-Obbo anavyoieleze nchi yenye utajiri hapa barani Afrika na kila wakipiga hesabu zinaonyesha wazi the guys are richer!
Unaona hizi data zinatofautiana na zile wanazotoa kwa uchumi wa Tanzania??!
 
Ye mwenyewe atakuwepo!!! na kama ahadi hazijatimia itakuwaje......
 
Kweli mkuu,tumuombe mungu huku tukiwaadabisha viongozi wote wabovu. Tusidharau mojawapo!
 

Hiyo 2025 wewe utakuwepo? Mbona walianza kitambo tambo hizo?
 

Attachments

  • 1390305269706.jpg
    53.1 KB · Views: 398
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…