Diplomasia mashakani

Diplomasia mashakani

Wanaomshauri Mother wanamwingiza chaka sana sidhani kama wanania nzuri nae sijui kwanini haling’amui hili,atakuwa na rekodi mbaya sana kulinganisha na watangulizi wake na atafanya wanawake wasiaminike kupewa nafasi ngazi za juu.
 
Wanaomshauri Mother wanamwingiza chaka sana sidhani kama wanania nzuri nae sijui kwanini haling’amui hili,atakuwa na rekodi mbaya sana kulinganisha na watangulizi wake na atafanya wanawake wasiaminike kupewa nafasi ngazi za juu.
Thats the plan ,ajae chaka halaf badae wamuweke pembeni kwamba she is unfit
 
kuna wafanyabiashara wengi sana wapo Tanzania wakitokea kenya.usilete upotoshaji wa facebook
 
Kila mtoto akachezee kwa mama yake, kuna jina jipya Iddi mamaa. Ndugu zangu wa Kenya 😅😅😅🙌🙌🙌
 
Wananchi Kenya watishia kuwatimua Watanzania wanaofanya biashara na kazi Kenya


View: https://www.facebook.com/share/v/1CQNCpp8wM/?mibextid=xfxF2i

Ila Wakenya wapo awake sana mazee. Tukifika hii level ndio viongozi watakuwa na Adabu

Samia na JPM huwa vinywa vyao havina break . I Doubt kama vinatoka kichwàn kweli

Halaf ni kama hawa watu hawajui position ya Urais. Ishu Kama ile ilipaswa kujibiwa na waziri au katibu sio Rais

Alishasema kifo ni kifo kauli mbaya kabisa kutolewa na Rais…. Ngoja siku Wanu au Abdul afe ndio aje kutuambia kifo ni kifo

Now anasema nchi ya Kenya imeharibika….. that was bad statement na unethical ni kukosa weledi wa kidiplomasia….kauli ya Samia ilimaanisha Kenya imeharibika

Ruto kamjibu Samia kuwa Kenya is the best country in EAC na wakenya wawe proud na nchi yao.

Hivi kati ya Kenya na TZ …. Ni ipi imeharibika ?

Nchi ambayo mtu unaweza kutolewa kwenye gari na ukauliwa na serikal isifanye chochote, nchi ambayo unatekwq na kuuliwa na gvt haina majibu….. nchi ambayo mtu unakula shaba nje ya bunge na gvt haijui chochote ?

Hiyo ndio nchi bora ?

Ubora wa TZ ni upi? Nchi ambayo Raia wake hawàna uwezo wa kusimamamisha maamuzi ya Rais dhidi ya resources zao…. Ni nchi hiyo ? Nchi ambayo raia hawana uwezo wa kuquestion decion za viongozi, ni nchi hiyo?

Kenya is far better than TZ kwa Level zote. TZ ni worst country …. Waandishi wa habari kenya wanamwambia Ruto lwenye maandamano watu 3 wamekufa ; Je Rais, huoni kuwa Mikono yako imejaa damu na ww ni muuaji ? Apo TZ ukimuhoji Rais ivo imekula kwako… muulize Paskali Mayalla…

. Samia amepoteza contrôl sana yani na hajui anafanya nini ; muhimu kumekucha
 
Ila Wakenya wapo awake sana mazee. Tukifika hii level ndio viongozi watakuwa na Adabu

Samia na JPM huwa vinywa vyao havina break . I Doubt kama vinatoka kichwàn kweli

Halaf ni kama hawa watu hawajui position ya Urais. Ishu Kama ile ilipaswa kujibiwa na waziri au katibu sio Rais

Alishasema kifo ni kifo kauli mbaya kabisa kutolewa na Rais…. Ngoja siku Wanu au Abdul afe ndio aje kutuambia kifo ni kifo

Now anasema nchi ya Kenya imeharibika….. that was bad statement na unethical ni kukosa weledi wa kidiplomasia….kauli ya Samia ilimaanisha Kenya imeharibika

Ruto kamjibu Samia kuwa Kenya is the best country in EAC na wakenya wawe proud na nchi yao.

Hivi kati ya Kenya na TZ …. Ni ipi imeharibika ?

Nchi ambayo mtu unaweza kutolewa kwenye gari na ukauliwa na serikal isifanye chochote, nchi ambayo unatekwq na kuuliwa na gvt haina majibu….. nchi ambayo mtu unakula shaba nje ya bunge na gvt haijui chochote ?

Hiyo ndio nchi bora ?

Ubora wa TZ ni upi? Nchi ambayo Raia wake hawàna uwezo wa kusimamamisha maamuzi ya Rais dhidi ya resources zao…. Ni nchi hiyo ? Nchi ambayo raia hawana uwezo wa kuquestion decion za viongozi, ni nchi hiyo?

Kenya is far better than TZ kwa Level zote. TZ ni worst country …. Waandishi wa habari kenya wanamwambia Ruto lwenye maandamano watu 3 wamekufa ; Je Rais, huoni kuwa Mikono yako imejaa damu na ww ni muuaji ? Apo TZ ukimuhoji Rais ivo imekula kwako… muulize Paskali Mayalla…

. Samia amepoteza contrôl sana yani na hajui anafanya nini ; muhimu kumekucha
Kama utakumbuka tuliambiwa tuhamie kwingine,ila hatukuambiwa nchi bora eac.
 
Ila Wakenya wapo awake sana mazee. Tukifika hii level ndio viongozi watakuwa na Adabu

Samia na JPM huwa vinywa vyao havina break . I Doubt kama vinatoka kichwàn kweli

Halaf ni kama hawa watu hawajui position ya Urais. Ishu Kama ile ilipaswa kujibiwa na waziri au katibu sio Rais

Alishasema kifo ni kifo kauli mbaya kabisa kutolewa na Rais…. Ngoja siku Wanu au Abdul afe ndio aje kutuambia kifo ni kifo

Now anasema nchi ya Kenya imeharibika….. that was bad statement na unethical ni kukosa weledi wa kidiplomasia….kauli ya Samia ilimaanisha Kenya imeharibika

Ruto kamjibu Samia kuwa Kenya is the best country in EAC na wakenya wawe proud na nchi yao.

Hivi kati ya Kenya na TZ …. Ni ipi imeharibika ?

Nchi ambayo mtu unaweza kutolewa kwenye gari na ukauliwa na serikal isifanye chochote, nchi ambayo unatekwq na kuuliwa na gvt haina majibu….. nchi ambayo mtu unakula shaba nje ya bunge na gvt haijui chochote ?

Hiyo ndio nchi bora ?

Ubora wa TZ ni upi? Nchi ambayo Raia wake hawàna uwezo wa kusimamamisha maamuzi ya Rais dhidi ya resources zao…. Ni nchi hiyo ? Nchi ambayo raia hawana uwezo wa kuquestion decion za viongozi, ni nchi hiyo?

Kenya is far better than TZ kwa Level zote. TZ ni worst country …. Waandishi wa habari kenya wanamwambia Ruto lwenye maandamano watu 3 wamekufa ; Je Rais, huoni kuwa Mikono yako imejaa damu na ww ni muuaji ? Apo TZ ukimuhoji Rais ivo imekula kwako… muulize Paskali Mayalla…

. Samia amepoteza contrôl sana yani na hajui anafanya nini ; muhimu kumekucha
Kenya is far better than TZ kwa Level zote. TZ ni worst country …. Waandishi wa habari kenya wanamwambia Ruto lwenye maandamano watu 3 wamekufa ; Je Rais, huoni kuwa Mikono yako imejaa damu na ww ni muuaji ? Apo TZ ukimuhoji Rais ivo imekula kwako… muulize Paskali Mayalla…
 
Na sisi tuwarudishie raia wao mpakani kwenye mitaro wakiwa wamebondwa😏
 
Wanaomshauri Mother wanamwingiza chaka sana sidhani kama wanania nzuri nae sijui kwanini haling’amui hili,atakuwa na rekodi mbaya sana kulinganisha na watangulizi wake na atafanya wanawake wasiaminike kupewa nafasi ngazi za juu.
Msikilize Pascal Mayalla hapa.. Kuna vitu sensitive sana kaongea.. Mkuu Pascal naitumia sana hii video yako lakini ni kwa nia njema kabisa🙏🏿🙏🏿🙏🏿
 
Sio kweli
Mimi tu nasafirigi kufata mzigo
Lala namanga alafu asubuh heaabu hice zilizobeba watz kuingia nairobi kuanzia saa 8 usiku na hiyo ni daily

Eti Azizi
Mambo ya mtandaoni bwwana
Wewe ni mchuuzi siyo mfanyabiashara 😁
 
Back
Top Bottom