samahani wakuu, naomba kuuliza kati ya hizi koz mbili mnanishauri nisome ipi? Maana nimechaguliwa medical lab-udom lakn kuna wadau wananiambia nikasome Pharmacy.
Tafadhar naombeni mnifumbue macho juu ya hizi mbili ili niweze kupata maamuz sahihi.
karibuni