Dini mpya itaenea katika nchi

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,729
Reaction score
5,639
"....... And a new religion shall sweep across the land."

Matukio ya watoto kuua wazazi, wanandoa kuua wenzi wao, haya mambo yanaonyesha mabadiliko katika falsafa za watu.
Watu wanajiuliza kama wanahitaji mke. Haya mambo Godbless Lema alikuwa anayazungumzia leo asubuhi. Kuna tatizo gani? Hakuna tatizo. Ni dini ya Shetani tu. Certainly hao watu hawahitaji kupimwa afya ya akili.
 
"Matukio ya watoto kuua wazazi,wanandoa kuua wenzi wao,haya mambo yanaonyesha mabadiliko katika falsafa za watu".
Hakuna dhambi mpya. Zote zilishatendwa/fanyika tangu zamani. Kinachotofautisha hapo ni mtindo wa utendaji wa dhambi husika. Juzijuzi kati hapo walitenda kwa mtindo wa Analogia siku hizi wanafanya ki-digitali zaidi lakini kitu ni kilekile.
 
Unapotosha ukiaminisha watu matukio haya ni mapya..
Yapo tangu enzi na enzi..Tena naweza argue,kustaaribika kwa watu,uwepo wa Sheria, yamepunguza sana haya matukio.
 
 
Dini mpya TanzaniašŸ‘‡šŸ¤”šŸ¤”šŸ¤”
Your browser is not able to display this video.
 
Nimeamka asubuhi leo nikaamua kusoma Hadith. Nilikuwa nafikiria"hawa Waislamu wanaitwa wastaarabu lakini mbona hawafanyi mambo ya kistaarabu barabarani"?
Nikasoma,baada ya muda nikaifikia hii statement,
Allah's Apostle said, "By Him in Whose Hands my life is, none of you will have faith till he loves me more than his father and his children."
Halafu hii statement,
The Prophet said "None of you will have faith till he loves me more than his father, his children and all mankind."
Kabla ya hapo Muhammad alikuwa amesema,
The Prophet said, "None of you will have faith till he wishes for his (Muslim) brother what he likes for himself." .
Ugomvi wangu na hizi statements,hii ya chini,kwa mfano,"Waislamu wapendane",ina maana upendo ni kwa Waislamu wenyewe,hauwahusu watu wengine.
Au ukisema "Waislamu wasimpende baba yao au mama yao au mtoto wao,ila wampende Mtume tu.
Au unaposema dunia nzima isipendwe isipikuwa Muhammad tu. Hiyo siyo recipe for terrorism?
 
Hakuna dini inayowafundisha watu unafiki
 
Naunga mkono hoja mheshimiwa spika🤣
 
Dini hiyo ya kipepo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…