kwa hakika mungu amemjalia huyu dada sura nzuri!!!!!!
huo ni mtazamo wako tu wengine hatupendiunamaana hapo juu huoni?
Mtoto anapua ndefu ka msonjo yaani we acha tu.
Mh!vipi ameshaolewa?
akija bj atakwambia vingine preta kweli naona kila mtu na mtizamo wake
mkuu tukutuku, dina marios anakujibu hivi:
Ndugu zangu kuolewa si kwenda kusafisha nyota ili na wewe uonekane mjini umeolewa,mimi naliheshimu sana tukio la ndoa maana ni muunganiko kati ya mwanamke na mwanaume na kuwa kitu kimoja mpaka kifo kitakapowatenganisha kama imani ya dini yangu isemavyo.Mume na mke kufikiri na kutenda kama team moja,kufurahishana,kukasirishana,shida na raha mzipitie pamoja n.k....kuishi na mwenzako miaka nenda rudi ndani ya nyumba moja,chumba kimoja,kitanda kimoja si mchezo kila siku, kuanzisha familia pamoja namengine mengi.Sihitaji kukurupuka kukufurahisha wewe.
Mimi sipo desparate kutaka kuolewa am happy na maisha yangu so far,sihitaji mwanaume ndio aje kukamilisha au kuleta furaha katika maisha yangu,am happy with me.
Si kila mwanaume unaekuwa nae kama mpenzi basi lazima akuoe na kuwa mumeo,kuna wakati unakutana na mwanaume mnapendana kabisa lakini kuna vitu ambavyo vinafanya wewe na yeye msiweze kuoana.Kuna ambao si husband material wala father material.Mwingine hayupo tayari kuoa muda wake haujafika, mwingine tabia sio zenyewe kabisa.
Am 26 yrs old wala sijihisi kupungukiwa kitu katika maisha yangu...nitaolewa muda utakapofika wa kufanya hivyo na mwanaume ambae mimi Dina nimeona ananifaa kuwa mume wangu na baba wa watoto wangu.Kwasababu nitapenda kuwa mwanamke mwenye furaha japo najua ndoa ina mapito mengi lakini kama nitakuwa nimeolewa na mwanaume anaenipenda na mimi kumpenda tutayapita pamoja.
SITAOLEWA ILI KUUDANGANYA ULIMWENGU KUWA NA MIMI NIMEOLEWA..No one is in charge of my happiness except me....my head is my government.
Ndiyo alikuwa mzuri. Lakini sasa kajiachia na uzuri unapungua kadiri anavyozidikunenepeana. Mshauri apunguze unene huo. Kwanza si jambo zuri kiafya.
anamaanisha bibie belindajacobna profile yake inapatikana hapa