Duh!!kama uTest vileAnayetaka kazi aingia testerwork.com
Wanalipa vizuri, mpaka $45 kwa project. Lakini hiyo project 1 inabidi utulie kweli. Hela yao haiendi kizembe.
Changamoto wanalipa kwa Paypal....so jiandae na safaricom laini.
Wakoje hao u test?Duh!!kama uTest vile
Kutoa ni kiasi gani?Mimi Nina 295 nataka kuitoa kwenye m-pesa wananiambia mpaka ifike 11,440.50 hii imekaaje?@Tomaa mireni,riki boy.Kaz za jana zimetemaView attachment 986192
Mungeweka muongozo zaidi kwa hiyo utest tangu mwanzo mtu anavojiungaKampuni maarufu kwa kujaribu miradi mbalimbali online na kawaida, wanachukua tenda toka sehemu mbalimbali kwa ajili ya majaribio
. kujisajili ni bure lakini vigezo vyao vigumu sana na masharti pia. Location inaweza kua kikwazo kama hujui kucheza na VPN na fake GPS...test 1 inahusha vitu vingi sana inaweza kua picha,ku install app na kureport bugs n.k wanatoa pesa nyingi kama utapata(lakini kupata shughuli) malipo ni Visa, mastercard paypal n.k
Street bees saiv inachagua na nchi sio nchi zote inakubali tena
Kutoa ni kiasi gani?Mimi Nina 295 nataka kuitoa kwenye m-pesa wananiambia mpaka ifike 11,440.50 hii imekaaje?@Tomaa mireni,riki boy.
Nimekutumia ujumbe pmView attachment 1452959
Pesa iko hapa hiyo kazi ya week iliyoisha jumapili hii na Week inayoanza nina kazi ya $450 yani milion moja...
Mtandaoni kuna ela sana ni kujua tu unazipataje na kujituma
Nimeiona itakujibu nivumillie nina pm nyingi halafu ninakuwa na muda mchache wa kukujibu nitakueekeza usiku mkuuNimekutumia ujumbe pm
SAWANimeiona itakujibu nivumillie nina pm nyingi halafu ninakuwa na muda mchache wa kukujibu nitakueekeza usiku mkuu
Nimefeli test yao mara mbili mkuuAnayetaka kazi aingia testerwork.com
Wanalipa vizuri, mpaka $45 kwa project. Lakini hiyo project 1 inabidi utulie kweli. Hela yao haiendi kizembe.
Changamoto wanalipa kwa Paypal....so jiandae na safaricom laini.
Mkuu, naomba upitie na yangu!Nimeiona itakujibu nivumillie nina pm nyingi halafu ninakuwa na muda mchache wa kukujibu nitakueekeza usiku mkuu
Pole mkuu. JipangeNimefeli test yao mara mbili mkuu