Tomaa Mireni
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 2,330
- 2,283
- Thread starter
- #21
Ahaaaa kaz za vituo vya kutolea huduma za afya na vya mafuta
Ahaaaa kaz za vituo vya kutolea huduma za afya na vya mafuta
Gudmkuu hizi mishe unapigaje,nataka huu mwaka nisikosee tena, ufafanuzi kidogo plz
Picha ya kwanza ni malipo niliyopokoa kupitia payoneer kutoka makampuni mabalimbali kama appen, kentar, meelan picha ya pili ni malipo niliyopokea kutokana na kazi za freelancing freelancers.com, malipo ya tatu ni malipo niliyopokea kupitia paypal kutokana na kuongelea masuala ya artificial intelligence huko perks.com. Zote ni kazi amabzo zinajirudia yani nazifanya kila mwezi
Je ungependa kuifahamu na kujifunza kuhusiana na forex trading biashara ambayo inaweza kukutajirisha kwa muda mfupi
Jiunge sasa na group hili la whatsapp uweze kupata msaada kuhusiana na forex.. Ni bureeee kabisaa
Fx_Money Makers
Ipi
Nifundishe Kuhusu hiiWenye premise leo kuna kazi zaidi ya 100View attachment 984663
Hapo kila moja 350...Wenye premise leo kuna kazi zaidi ya 100View attachment 984663
Mbona me sioni hela ikiongezeka mkuu??Swali 1 =20×100= ukiwa umelala tu yan!!!! Unakosaje iyoView attachment 984665View attachment 984666
Mkuu humo kila kaz na bei yake,kuna mpka kaz za 700, ila jana ilikuwa tsh.20 kila swali
Zinakaguliwa
Hata leoo nimemalizaa kazi yote lakini pesaa hakunaaaMkuu humo kila kaz na bei yake,kuna mpka kaz za 700, ila jana ilikuwa tsh.20 kila swali