DILI KUBWA...Ntolee fao la NSSF upate 50 %

DILI KUBWA...Ntolee fao la NSSF upate 50 %

"No research no right to speak"inaelekea hata utaratibu haujui
mkuu sio vibaya tukaelimishana, mie sio malaika niwe najua ukweli wote.

Je ukiwa na kile kitambulisho cha zaman (laminated) huchukui fao lako?
 
Huchukui wala nini. Utaambiwa tafuta kwanza smart card uje nayo. Katika taratibu za kutafuta smart card utaambiwa piga picha uje baada ya siku saba. Ukija baada ya siku saba utaambiwa printer mobu njoo baada ya mwezi na nusu. Upo?

mkuu sio vibaya tukaelimishana, mie sio malaika niwe najua ukweli wote.

Je ukiwa na kile kitambulisho cha zaman (laminated) huchukui fao lako?
 
[h=5]Kwa wanaofanya kazi NSSF, i got like 2 mil. kwenye NSSF yangu. Kwa atakae weza kunitolea he/she gets 50%[/h]

mkuu nitakutafuta baada ya masiku mengi, ili nikuunganishe na wataalamu, maana umeshamwaga mchele kwenye kuku wengi!
 
lara1 yuko wapi jamani amshauri huyu ndugu?, hebu weka wazi uko mkoa gani halafu nikushauri....hapahapa JF live bila kona...fuata taratibu za uchukuaji wa fedha zako....vigezo na mashart kuzingatiwa,hutatoa hata shillingi unless otherwise uwe umependa mwenyewe kutoa hela zako.
mkuu unatakiwa miez 6 tangu ulipoacha kazi ndo unaruhusiwa kuchukua pesa yako ktk hali ya kawaida.

huyu mtoa maada hajaweka detail km bado anaendelea na mzigo au la.

Pia tusiendekeze rrushwa kila mahali, hii itasababisha kupoteza pesa nyingi bila sababu.

Mf huyu jamaa ana mil 2, lkn anatupa 1 mill bila sababu,
 
Back
Top Bottom