jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,144
- 28,384
Dr Godwin anamshukuru Dikteta (kimoyomoyo) kwa kumruhusu kufanya mkutano wa kisiasa jimboni kwake,mkutano ambao ulishuhudia harambee ya kujeanga madarasa katika shule ya sekondari ili watu wa SIHA waweze kupata elimu.
Hii ina maana Dikteta ni mzuri sana kwani anafanya udikteta kwaajili ya maendeleo.
Hii ina maana Dikteta ni mzuri sana kwani anafanya udikteta kwaajili ya maendeleo.