Digital tv-SANSUI

Digital tv-SANSUI

Nokla

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2012
Posts
3,190
Reaction score
1,780
Wana-JF kuna brand mpya ya Digital tv zinaitwa Sansui kuna jamaa yangu yupo Japan ameniambia anataka kunitumia niziuze.
Swali ni je hizi tv zinaubora kweli na zitauzika? Mwenye uelewa tafadhali anijuze.
 
Sansui ni kampuni kubwa sana japan na inavitu vyake very strong nina redio sansui booonge la dude heshima sana sema mara nyingi menu na remotes zake zipo kwenye setting ya kijapan sasa ikitokea hivyo umeula wa chuya manake wabongo wanataka lugha rahisi
 
Jaribu kuchukua sample,uone ubora wake umekaaje na soko lake pia,kama ziko poa utauza sana
ila kama ni zile za kichina itakula kwako!!Fanya research pale kariakoo,
Ukileta ni PM nije nizione,naweza kukuunganisha na jamaa yangu yuko mkoa huwa anachukua sana t.v k/koo!!
 
Jaribu kuchukua sample,uone ubora wake umekaaje na soko lake pia,kama ziko poa utauza sana
ila kama ni zile za kichina itakula kwako!!Fanya research pale kariakoo,
Ukileta ni PM nije nizione,naweza kukuunganisha na jamaa yangu yuko mkoa huwa anachukua sana t.v k/koo!!

asante mkuu, nitaku-PM mzigo ukufika, nataka aniletee chache ili nijue market yake kwanza.
 
Sansui ni kampuni kubwa sana japan na inavitu vyake very strong nina redio sansui booonge la dude heshima sana sema mara nyingi menu na remotes zake zipo kwenye setting ya kijapan sasa ikitokea hivyo umeula wa chuya manake wabongo wanataka lugha rahisi

thanks mkuu kwa ushauri murua kabisa, big up!
 
Sansui ni kampuni kubwa sana japan na inavitu vyake very strong nina redio sansui booonge la dude heshima sana sema mara nyingi menu na remotes zake zipo kwenye setting ya kijapan sasa ikitokea hivyo umeula wa chuya manake wabongo wanataka lugha rahisi

Samahani sana kiongozi, nilikuwa na radio ya saunsui wakaniibia nikabaki na speaker tu. Unaweza nielekeza uliponunua radio yako
 
Back
Top Bottom