LEX STEELE
JF-Expert Member
- Jul 16, 2011
- 224
- 110
Jamani nataka nifungue digital recording studio.
Sasa hebu niambieni nahitaji vifaa gani ili niweze kuwa na studio ya kuweza kurekodi kama ya Master J lakini iwe na uwezo wa kurekodi bendi ya wanamziki au kundi la watu kama 8 hivi.
Ninajuana na jamaa wako Holland, USA na UK lakini nikipewa ushauri nitashkuru ili nijue niagize nini na niwe na bajeti ya kiasi gani
Najua teknology imekua sana na enzi za madude makubwa zimepitwa na wakati so kitu kidogo lakini powerful
Sasa wakulu mnasemaje?
Sasa hebu niambieni nahitaji vifaa gani ili niweze kuwa na studio ya kuweza kurekodi kama ya Master J lakini iwe na uwezo wa kurekodi bendi ya wanamziki au kundi la watu kama 8 hivi.
Ninajuana na jamaa wako Holland, USA na UK lakini nikipewa ushauri nitashkuru ili nijue niagize nini na niwe na bajeti ya kiasi gani
Najua teknology imekua sana na enzi za madude makubwa zimepitwa na wakati so kitu kidogo lakini powerful
Sasa wakulu mnasemaje?