Heargy da Best
Member
- Jun 23, 2015
- 48
- 10
Acha mapenzi yaitwe mapenzi..miaka ya tisiini huko ilikua mtu akikutana mpenzi wake wanashikanana shikana kidogo wanaanza game..walikua hawajali sana mambo ya maromance wala nn...ila kwa wakati wa sasa bila kuzama chumvini mapenzi hayanogi...na ukitaka kumpagawisha mpenzi wako nenda deep uwone km hatokuganda km ruba....km huwezi kuzama chumvuni jiandae kuibiwa mpenzi wako... #ChumviChumvini