Digital cameras special thread

Digital cameras special thread

Emma Mnyama

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
201
Reaction score
183
Wajuzi wa digital camera watupe mawazo yao kuhusu
-camera nzuri kwa ( beginners) wanaoanza.
-camera za bei nafuu kwa still pictures na za video.
-Maujuzi kuhusu lens.
-Kuhusu kununua camera eBay na Amazon.
-Mahali zinapouzwa kwa hapa Tanzania.
-Jinsi ya kutumua camera.
-Vitu muhimu vya kuzingatia katika kutumia camera.
-Ujuzi wa kutumia camera kibiashara.
-Camera bora.
NK.
 
Kwa begginer tafuta canon 700D inauzwa kuanzia 900,000 -1,600,000 ,750D hii sijui bei yake ,800D sijui bei yake, lens kua nayo ambayo ni kit lens 18-55mm hii inakuja na kamera ,50mm inauzwa 250,000, na ya24 - 105mm hii ya mwisho ni ghali sana bei ni around $400-600 kwa used mpya inapanda zaidi
 
kwa proffessional duties.. a full frame camera ndio nzuri zaidi... watu wengi wanatumia canon 5d mark series.. kila sehemu uende i view, uende wcb, wapiga picha wakubwa wengi duniani hata ukitazama youtube utaona wanatumia canon 5d series..


nimesema series sababu hizo 5d zipo aina nyingi...
 
Back
Top Bottom