Dirgii inakimbiza mume
Maana inaongeza uwezo wa kuhoji
Daaa bado tuu hajarudi? Pole sana
Hapo ni digrii moja. Niambie zikiwa mbili inakuwaje.
Hata boifriend hakai
Umenisoma
Atakukoma mwaka huu ha ha ha!!!!!!!!!!
Tatizo ukiwa na digrii unaangaika sana kuidifine ndoa na wakati simply ndoa ni muunganiko kati ya me,ke... bhaaasi!
yap najua uliishia hapa.Umenisoma