Utakuwa na sifa ya Uwakili ila hautaweza fanya kazi ya Uwakili mpaka ulipe fees stahiki ndio utakuwa tayari kuitwa WAKILI.
Hivyo safari ya Uwakili haaishii kwenye kuapishwa tu, ni mpaka pale utakapo kidhi vigezo vingine kama kulipa Fees stahiki.
Sent using
Jamii Forums mobile app