Didas Masaburi: Watanzania tumsaidie Rais kufanya Maamuzi Sahihi

Huyo Masaburi mwenyewe ni mwizi wa kupindukia, aliifilisi UDA huyo kitambo sana huko nyuma, Kwa kufoji hana mpinzani hata hilo jina la masaburi sio lake. Atatueleza nini masaburi wakati yeye ndio mmoja wa mafisadi wa kudumu ndani ya ccm. Segerea anafahamika vizuri sana huyo ndio maana hakuthubutu kugombea udiwani segerea akakimbilia kivukoni nako wakamshitukia lakini kwasababu yeye ni mwanamtandao wakamfumbia macho. Hakuna mtu kwasasa wa kutuambia pesa za ESCROW sio za umma wakati kodi haikulipwa, na watu walifoji taarifa mpaka Brela na TRA kama pesa zilikuwa zao kwanini wafoji documents!

Acha propaganda chafu Masaburi ni mtu safi
 
Si unajua hilo lichama linavyojua kulindana?

Ingawa ARV's zake zimesababisha vifo vingi sana kwa waathirika wa ukimwi, lakini yeye anaendelea 'kubwabwaja' mitaani.

Hilo ni miongoni mwa mambo yaliowatia hasira wananchi, hadi kusababisha wananchi kukipa kichapo kikali sana hiko Chama cha Mapingamizi!

Huyo ni madabida lakini naye alishafafanua hilo
 
Inapendeza kuona Dr.Masaburi naye anafikiri kwa kutumia maaaaaaaaa- buri kama wabunge wa Dar alivyosema wakati ule.
Wadanganyika tumefikishwa mahali pa kutogeuka nyuma, mamlaka inayoteua ndio mamlaka inayotakiwa kutengua, vinginevyo waondoe katiba ya Six warejeshe ya Warioba inayopunguza mamlaka ya raisi.
 
Mwambieni MASABURI DIDAS, tutamsaidia Rais kwa kuchagua viongozi bora kabisa toka upinzani,ili chamachetu kipate kujua wizi wa mali za umma hautakiwi.
 
hivi ile kesi yake ya kulaghai umma kwa "ARV's FAKE ILIISHIA WAPI NAKUMBUKA ALIKUWA NI YEYE NA BI MKUBWA WAKE"[/QUOTEMassaburi hana kiwanda cha madawa wala hana biashara ya madawa. Mwenye kesi ya arv feki anaitwa madabida siyo masaburi. Ujifunze kutofautisha herufi. Kama hata herufi huwezi kutofautisha utawezeje kuchambua maswala mazito haya ya nchi? Bora urudi shule ujifunze a, b, c....]
 
Nilikuwa siamini sasa nimeamini. Mh(?) Masaburi anafikiria kwa kutumia 'kinyeo'
Aibu sana. Ndio maana anayo m.a.t.a.k.o. makuuuubwa!
 
Wafanyabiashara wa sukari na walanguzi wa nchi hii wanafahanika. Kama una evidence ya issue ya sukari toa humu na kama siyo evidence fake peleka mahakamani maana kwa tunavyojua masaburi biashara yake anaendesha chuo cha ugavi huko chanika ni mshauri bingwa wa mikataba ya manunuzi ya umma! Anaebisha kuhusu ubingwa wake aende darasani kwake chanika!
 
Inapendeza kuona Dr.Masaburi naye anafikiri kwa kutumia maaaaaaaaa- buri kama wabunge wa Dar alivyosema wakati ule.
Wadanganyika tumefikishwa mahali pa kutogeuka nyuma, mamlaka inayoteua ndio mamlaka inayotakiwa kutengua, vinginevyo waondoe katiba ya Six warejeshe ya Warioba inayopunguza mamlaka ya raisi.

Hawa wanaobisha humu ndani ndo yale mambweha yanayoshangilia wakati manyang'au yananyemelea pesa za IPTL. Mbweha wanajijua hawawezi kukamata mnyama na wanadhani nyang'au anaweza kumbe nyang'au naye hawezi anasubiri mnyama age au Simba aliekamata mnyama ashibe amuachie! Mambweha hao wataishia kunawa kwa jinsi serikali ya Jakaya ilivyo makini
 
Ukweli nao una wakati wa watu kuusikia, saa hizi ukija kuwaambia watu uhuru ulikuwa 1962 ukweli wako utakutana na public ridicule ya kutosha na ndio kinachotokea hapa!!!

Ukweli wake lazima uwe na validity na reliability katika context anayozungumzia!!!

Msalimie ukimuona mwambie kitalani watu wanafikiria sana na kujadili sio kama enzi za RTD

Hawa wanaobisha humu ndani ndo yale mambweha yanayoshangilia wakati manyang'au yananyemelea pesa za IPTL. Mbweha wanajijua hawawezi kukamata mnyama na wanadhani nyang'au anaweza kumbe nyang'au naye hawezi anasubiri mnyama age au Simba aliekamata mnyama ashibe amuachie! Mambweha hao wataishia kunawa kwa jinsi serikali ya Jakaya ilivyo makini!
 
kwa kuwa Kikwete hakutaka kufuata ushauri wetu sisi kinaa gogo la shamba lazima yamkute kama yale yaliyomkuta Zitto alipokataa kufuata ushauri wetu, na kwa sababu siku tulizompa za kutoa maamuzi kuhusu sakata la Esrow zimekwisha hana ujanja tena wa kujiokoa yeye na familia yake

Hawa wanaobisha humu ndani ndo yale mambweha yanayoshangilia wakati manyang'au yananyemelea pesa za IPTL. Mbweha wanajijua hawawezi kukamata mnyama na wanadhani nyang'au anaweza kumbe nyang'au naye hawezi anasubiri mnyama age au Simba aliekamata mnyama ashibe amuachie! Mambweha hao wataishia kunawa kwa jinsi serikali ya Jakaya ilivyo makin
 
Dk Masaburi yupo sahihi. Kuna upotoshaji mkubwa sana umefanywa na wabunge kwa sababu maalum. Ukweli haukuwekwa wazi kwamba fedha kwenye akaunti ya escrow hazikuwa za serikali, bali za wazalishaji umeme (IPTL). Inasikitisha kusikia kwamba baadhi ya wabunge walipokea rushwa kutoka kwa mfanyabiashara mmoja mwenye chuki binafsi na Prof. Muhongo. Sidhani kama watu hawa wanaitakia mema nchi hii.
 
Wafanyabiashara wa sukari na walanguzi wa nchi hii wanafahanika. Kama una evidence ya issue ya sukari toa humu na kama siyo evidence fake peleka mahakamani maana kwa tunavyojua masaburi biashara yake anaendesha chuo cha ugavi huko chanika ni mshauri bingwa wa mikataba ya manunuzi ya umma! Anaebisha kuhusu ubingwa wake aende darasani kwake chanika!

Kama wewe na mnatambua uwepo wa mahakama kwa nini mnataka wanachi ndio wasaidie maamuzi???!!
 
Dk Masaburi yupo sahihi. Kuna upotoshaji mkubwa sana umefanywa na wabunge kwa sababu maalum. Ukweli haukuwekwa wazi kwamba fedha kwenye akaunti ya escrow hazikuwa za serikali, bali za wazalishaji umeme (IPTL). Inasikitisha kusikia kwamba baadhi ya wabunge walipokea rushwa kutoka kwa mfanyabiashara mmoja mwenye chuki binafsi na Prof. Muhongo. Sidhani kama watu hawa wanaitakia mema nchi hii.

Kama yuko sahihi kwa hoja yako hii, muelekeze PCCB ndio haya masuala ya rushwa yanashughulikiwa sio kwa wananchi
 
Hawa wanaobisha humu ndani ndo yale mambweha yanayoshangilia wakati manyang'au yananyemelea pesa za IPTL. Mbweha wanajijua hawawezi kukamata mnyama na wanadhani nyang'au anaweza kumbe nyang'au naye hawezi anasubiri mnyama age au Simba aliekamata mnyama ashibe amuachie! Mambweha hao wataishia kunawa kwa jinsi serikali ya Jakaya ilivyo makin

Na huo ndio mfumo wa maisha ya nyikani na jamii ina mifumo yake, kama yeye kawa kiongozi kwa kuda wote huu na hakuona umakini wa bunge na serikali inayihudumia bunge hilo leo hii anakataa mapendekezo ya vitu hivyo anavyofanya kazi chini yake huyu hafai kiwa kiongozi??!

Otherwise aweke methodology ya kufanyia kazi, sio matamko ya jumla kama haya!!!!
Wananchi wepi anawaongelea, wake au waume, wafanyakazi au wakulima, wafanyabiashara au wasioajiriwa??!!
Wa vijijini au wa mjini??!!!

Mshaurini kuwa matamko ya karne hizi lazima yawe na mashiko na yanayotekelezeka!!!
 
Masaburi kupitia kupenda kwake kupenya katikati ya viongozi dhaifu ili kutimiza mbinu zake za kibiashara zimechangia pia kumchanganya mheshimiwa Rais. Leo hii sukari imelundikana kwenye magala viwandani kisha Mzee aliewatusi wabunge amepewa tenda ya sukari, hivi huyu bwana na swahiba wake mtoto Wa mkulima hawajui kuwa wananchi sana hasira nao.

Haya serikali ya mitaa ni manyunyu tu bado mvua za masika 2015. UKAWA kaeni na mjipange vizuri ili ushindi wa upatikane.

Wafanyabiashara wa sukari na walanguzi wa nchi hii wanafahanika. Kama una evidence ya issue ya sukari toa humu na kama siyo evidence fake peleka mahakamani maana kwa tunavyojua masaburi biashara yake anaendesha chuo cha ugavi huko chanika ni mshauri bingwa wa mikataba ya manunuzi ya umma! Anaebisha kuhusu ubingwa wake aende darasani kwake
 
Back
Top Bottom