Diaspora na dua la kuku kwa Diamond Platnumz

Diaspora na dua la kuku kwa Diamond Platnumz

Chris Lukosi ndio alikuwa getini kufanya utapeli? sijakusoma mkuu.
Mkuu,mimi nimesoma kuwa alikuwepo Chris na Victor hapo mlangoni, ndio nikquliza chris Lukosi ?, kama Ni yeye sidhani kama alihusika kutapeli maana yeye inaonekana alikuwa idara ya collection tu
 
Last edited by a moderator:
hicho ndcho umekifikiria tangu asubuhi mpaka mda huu na kuamua kukaa nyuma ya keyboard kututaarifu?
Kwan ameshusha mihadarat tayar?
Maana aliibeba mingi sana

Hahaha mkuu umenchekesha inawezekana kweli ndo alichokiwaza tangu asbh.
 
Ukisoma kwa makini matukio haya mawili ( Ujerumani na Uingereza) na utetezi wa Diamond utabaini kuwa huyu kijana Diamond naye kajisahau na kuanza kuendesha mambo yake kienyeji. Kinachoshangaza zaidi ni utetezi wa Tale eti Diamond hana tatizo kwa kuwa hakukuwa na mkataba!! Mara alidakwa juu juu na "promoter" alipofika London!!. Yaani full usanii sanii tu. Mbaya zaidi Tale anajichanganya tena kwa kusema eti watu walirudishiwa pesa zao. Hivi huyu Diamond na Tale wake wanafikiri watu ni majuha na hivyo kuwarudishia pesa zao basi tatizo limeisha. Watu wanataka huduma bora na si kurudisha pesa. Je, muda walioupoteza wataufidiaje?!. Halafu kesho akiporomoka kimuziki anasema wabaya wake kwenye muziki au jirani zake wamemloga. Watanzania bado tuna safari ndefu kufikia kwenye kiwango cha kujitambua na kuthamini kazi.
 
Ukisoma kwa makini matukio haya mawili ( Ujerumani na Uingereza) na utetezi wa Diamond utabaini kuwa huyu kijana Diamond naye kajisahau na kuanza kuendesha mambo yake kienyeji. Kinachoshangaza zaidi ni utetezi wa Tale eti Diamond hana tatizo kwa kuwa hakukuwa na mkataba!! Mara alidakwa juu juu na "promoter" alipofika London!!. Yaani full usanii sanii tu. Mbaya zaidi Tale anajichanganya tena kwa kusema eti watu walirudishiwa pesa zao. Hivi huyu Diamond na Tale wake wanafikiri watu ni majuha na hivyo kuwarudishia pesa zao basi tatizo limeisha. Watu wanataka huduma bora na si kurudisha pesa. Je, muda walioupoteza wataufidiaje?!. Halafu kesho akiporomoka kimuziki anasema wabaya wake kwenye muziki au jirani zake wamemloga. Watanzania bado tuna safari ndefu kufikia kwenye kiwango cha kujitambua na kuthamini kazi.

mkuu shule muhim sana tumpe pole tuu kijan na huy anaejiita manager wake.
 
Ivi ndio aina hii ya watu walikua wanaambiwa waje wawekeze Tanzania??
Huyo muimbaji pamoja na wao wote ni vilaza tu.
Haya, hawa ndio Watanzania na huyu ndio msanii wa Kitanzania. Kumbe mapromota ndio wanamsubua ...ndio maana mkulu mwenyewe kaamua kuingia front na kumpromoti kijana wake!
Pamoja na utumbo huu wote bado watanzania tulio wengi tunaamini kuwa ELIMU ni kwa ajili ya kutafutia vyeti vya kupatia kazi!

 
by bdo;
Mkuu,mimi nimesoma kuwa alikuwepo Chris na Victor hapo mlangoni, ndio nikquliza chris Lukosi ?, kama Ni yeye sidhani kama alihusika kutapeli maana yeye inaonekana alikuwa idara ya collection tu


Mkuu bdo huyu Chris Lukosi ni mtaalamu wa siku nyingi wa kukaa kwenye hiki kitengo cha collection, maana hata kwa Mwangosi alikaa kwenye hiki kitengo cha collection baadaye akachikichia na rambirambi ya mjane wa Mwangosi.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu nkuwi tunatafuta pingu - Afande chris Lukosi huwa hapendi kabisa kusikia habari ya Mwangosi
by bdo;
Mkuu,mimi nimesoma kuwa alikuwepo Chris na Victor hapo mlangoni, ndio nikquliza chris Lukosi ?, kama Ni yeye sidhani kama alihusika kutapeli maana yeye inaonekana alikuwa idara ya collection tu


Mkuu bdo huyu Chris Lukosi ni mtaalamu wa siku nyingi wa kukaa kwenye hiki kitengo cha collection, maana hata kwa Mwangosi alikaa kwenye hiki kitengo cha collection baadaye akachikichia na rambirambi ya mjane wa Mwangosi.
 
Last edited by a moderator:
Huyu taletale analeta habari za mikataba ya Yanga vs Okwi vs Simba
Ukisoma kwa makini matukio haya mawili ( Ujerumani na Uingereza) na utetezi wa Diamond utabaini kuwa huyu kijana Diamond naye kajisahau na kuanza kuendesha mambo yake kienyeji. Kinachoshangaza zaidi ni utetezi wa Tale eti Diamond hana tatizo kwa kuwa hakukuwa na mkataba!! Mara alidakwa juu juu na "promoter" alipofika London!!. Yaani full usanii sanii tu. Mbaya zaidi Tale anajichanganya tena kwa kusema eti watu walirudishiwa pesa zao. Hivi huyu Diamond na Tale wake wanafikiri watu ni majuha na hivyo kuwarudishia pesa zao basi tatizo limeisha. Watu wanataka huduma bora na si kurudisha pesa. Je, muda walioupoteza wataufidiaje?!. Halafu kesho akiporomoka kimuziki anasema wabaya wake kwenye muziki au jirani zake wamemloga. Watanzania bado tuna safari ndefu kufikia kwenye kiwango cha kujitambua na kuthamini kazi.
 
Diamond anapita njia za Rehema Chalamila, alikuwa anakula advance na hatokei kwenye show na matokeo yake show zilipokata akaanza kujifariji kwa kuwa teja. Simsahau Ray C alinitia hasara Norway, alikuwa advance na nikamtumia ticket za mbili za ndege na hakutokea.
Bila kujali ni tatizo la promota au Diamond, jambo lililokuwa la muhimu ni Diamond kuhakikisha kuwa yaliyomtokea Germany hayamtokei tena katika maisha yake ya muziki ili kuonesha alivyo makini kwenye kazi yake, lakini ndani ya kipindi kifupi inatokea tena, na unatolewa utetezi ule ule.
Diamond muziki ndio kazi yake, muziki ndio biashara yake, hivyo anapaswa kuilinda na kuhakikisha mtu hachezei biashara yake kwa kumchafulia sifa kwa tabia ya kutotokea kwenye maonesho. Ni sifa mbaya sana, ambayo mwenzake Ray C inamgharimu mpaka leo.
Ova
 
Naisi diamond unatudanganya ukiludi bongo,unakwenda ulaya bila mapatano wewe vipi?
 
I see

Pole kwa hasara iliyokukuta


Diamond anapita njia za Rehema Chalamila, alikuwa anakula advance na hatokei kwenye show na matokeo yake show zilipokata akaanza kujifariji kwa kuwa teja. Simsahau Ray C alinitia hasara Norway, alikuwa advance na nikamtumia ticket za mbili za ndege na hakutokea.
Bila kujali ni tatizo la promota au Diamond, jambo lililokuwa la muhimu ni Diamond kuhakikisha kuwa yaliyomtokea Germany hayamtokei tena katika maisha yake ya muziki ili kuonesha alivyo makini kwenye kazi yake, lakini ndani ya kipindi kifupi inatokea tena, na unatolewa utetezi ule ule.
Diamond muziki ndio kazi yake, muziki ndio biashara yake, hivyo anapaswa kuilinda na kuhakikisha mtu hachezei biashara yake kwa kumchafulia sifa kwa tabia ya kutotokea kwenye maonesho. Ni sifa mbaya sana, ambayo mwenzake Ray C inamgharimu mpaka leo.
Ova
 
Bora angekuwepo Ngwea

Tatizo la elimu ni mosi. Yeyote mwenye elimu hujali muda wake na wa watu wengine pia. Unaambiwa watu walitoka mbali kuja kumsikiliza hivyo wamepoteza hela muda na imani kwa huyu kijana. Ingekuwa mara ya kwanza kumtokea angesamehewa ila ni mara ya pili tena kwa kipindi kifupi ukianzia na Ugerumani. Hivi sasa wenzetu wa majuu wameshamwona ni mswahili tu. Hatari ni kuwa wakijitokeza wajanja wakampeleka mbele ya sheria anaweza kufilisika kwa fidia. Pili ujue mambo ya kiswahili swahili ni pamoja na kuchukua mapromota uchwara wa bei ndogo mitaani na wasio na mtaji wa kulipia hata ukumbi. Mwisho waimbaji wenye majina huitwa na kwenda baada ya kuandikiana mikataba hivyo muimbaji hawezi kupata hasara yeye kama atafuata masharti ya mkataba. Wapiga muziki toka hata Zaire na Ulaya hawawezi kuja nchini hapa bila kuwa na mkataba na promota anaemleta na hela ziwe zimelipwa kwenye akaunti zao.Wafanya biashara wote wasio na elimu huwatumia wenye elimu kuwaendeshea biashara zao.
 
Back
Top Bottom