Diaspora Hawatoi connection?

Naandika huu uzi baada ya kusoma na kusikia mara kadhaa kwamba diaspora wabongo hawatoi connection za kwenda nje compared to diaspora wa nchi kama Kenya, Nigeria nk. Mimi kama diaspora napinga hii notion vikali.

Hapa JF Kuna nyuzi zaidi ya 100 zinazojadili jinsi ya kwenda nje, a quick search mtu unapata majibu yote na bado watu tunachangia nyuzi kila leo. Mnataka connection gani zaidi?

EBM anatoa free knowledge on YouTube na bloggers wengine jinsi ya kwenda nje, hiyo sio connection? Tuwape bundle za kuingia youtube au?

Mimi binafsi nimeshirikiana na watu kadhaa toka kwenye forum hii hii toka walipoanza harakati zao za kwenda nje na sasa wapo mbele needless to say walifanya sehemu zao na mambo yao yakafanikiwa. Sasa urafiki umekua undugu. Tatizo ndugu zangu wamatumbi mnapotaka connection mnataka hao diaspora wawape hadi hela na passport wawatafutie. You have to play your part as well.

Kimsingi kwenda nje is as easy as ABC. Kupata connection ni vizuri but isn't everything. Mimi nilienda bila connection yeyote ile, maelezo yote yapo kwenye websites za nchi husika ila ni lazima uwe tayari kufanya sehemu yako pia, kuna watu wanadhani diaspora wana a magic code ya kwenda nje this couldn't be further from the truth. Ni lazima uwe tayari kufanya sehemu yako.

Wabongo wenzangu punguzeni kulalamika kiboya, JF Kuna more than 100 threads, YouTube ipo, website za nchi husika zipo, tunajitoa as much as we can but we can only do so much. Maisha yako ni jukumu lako, kusaidiana kupo ila sio wajibu.

Nipo around mazee.



Mkuu kwa mfano mimi nakualika wewe kama nani yangu au kwenye function gani?

Nadhani wengi mnadhani mualiko wowote tu unatosha kupewa visa ila hamjui ni lazima muwe na ukaribu na huyo mtu na wewe as a visitor uonyeshe upo well established nyumbani na utarudi ili upewe visa kigezo ambacho vijana wengi hawana maana ndo wanatafuta maisha. Kama haupo vizuri bongo kwa maana ya a stable job au business, assets, ndoa, watoto, na hela visa ya kutembea kwa mualiko ni mtihani.

Niseme tu diapora wanatumia internet hii hii kutafuta hizo internships na kazi mnazotaka wawajulishe sio kwamba wanaenda kwenye hizo organizations in person. Wewe muhitaji ni bora kuwekeza nguvu nyingi kuzitafuta hizo nafasi, ukikpata ndo mshauriane na mtu wako wa karibu aliyeko huko. Hao diaspora wana majukumu mengine hawawezi kuacha majukumu yao na kushinda online siku nzima kukutafutia internships na kazi. Tujiongeze hapa tuache uzembe na lawama za reja reja.

Hakuna mtu anaogopa kuwapa muongozo ila you're asking way too much hata kwa mambo yaliyo ndani ya uwezo wenu. Mimi sina muda wa kumtafutia mtu chuo, passport au internship huo muda sina kabisa Ila akipata nitamsaidia all the way through ndo maana nilisema lazima ucheze part yako as well hakuna mtu ataacha majukumu yake kukusaidia wewe kila kitu.



Hifadhi, kazi, viza ya muda mrefu ni hadi ufike nchi husika. You will cross that bridge when you get to it. Step 1 ni kupata visa ya kwenda, kama huna uhakika wa visa ya kwenda kwanini uanzie kuumiza kichwa kwa mambo ya mbele?

Ukifika swala la visa ya muda mrefu ni kupewa the right information tu actions zote ni juu yako. Diaspora hawatoi visa au work permit wao, hakuna sababu ya kunyimwa information.

Kuhusu hifadhi sijawahi kusikia mtu kafika kakosa hifadhi, watu wanafika kila siku wanapewa hifadhi na watu baki kabisa na maisha yanaendelea.

Hizi lawama zenu hazina msingi wowote ni lazima ujisaidie kwanza ili usaidiwe. Hii mentality ya kwamba diaspora watakufanyia kila kitu ni ujinga.
Hii kitu bwana Wabongo wanapenda lawama jonsonjohn kupitia kwenye website yake wwww.digxam.co ametafuta sana watu kwajili ya kufanyia connection ya kuingia Japan watu kamkataa baada ya mwezi akafuta akaona ujinga leo watu wanalaumu nini
 
Sisi tumesaidiwa, tunasaidia na watu wanaendelea kusaidiwa. Nani aliyefika hakupewa msaada unless alikua na mambo ya hovyo. Kuna mambo watu mnajiongelea tu au mnataka tukisaidiana tuwe tunapost?
Kiongozi nna swali ukishinda dv ok una passport tayari gharama ni kiasi gani as nauliza IDs etc ni kama dollar ngapi? Msaada.
 
Mtegemea cha Ndugu......
Mtu yeyote anayesubiri connection ni ngumu Sana kutoboa.
Mara nyingi connection zinatokeaga tuu ukiwa kwenye Line, yaani ukiwa kwenye harakati.
Kabisa Kaka umesema kweli vile ni vyema kupambana wewe mwenyewe ili ufike pale unapopataka.
 
Shukurani kaka.hatujakamilika mkuu.poleni na samahani kwa niliyemkwaza has a bufa
Hakuna tatizo furahia maisha ndugu kama leo kuna giza jua kesho kutakua na mwanga shukuru alafu zidi kupambana huku ukimuomba Mungu afungue milango yake ya baraka.
 
😂😂😂
Hayo ndio mawazo ya Maskini na fukara.
Sasa Kwa Akili hizi hata huyo anayewapa Watu Mafanikio atakupa kweli Mafanikio?

Msaada sio Haki yako, sio lazima.
Haki ni wewe mwenyewe kujisaidia.
Mwenye jukumu la kukusaidia ni Baba na Mama yako, full stop.

Sisi wengine ni hiyari yetu. Kama wewe ulivyo na hiyari ya kusaidia wengine.
Ni ishu ya moyo na upendo tuu.

Alafu MTU anaweza asikusaidie wewe lakini akawa anasaidia wengine, yaani asikupende wewe lakini akawa anawapenda wengine.


Hivyo hizo hasira zako ni hasira za mkizi
Umeongea ukweli mzito ila maneno yanayoumiza. Yaani ukweli unaouma! 👍🏾

Vipi kijana asiye na wazazi?! Kwahiyo msaada kwake ndo mwisho?! 🤔
 
Hakuna tatizo furahia maisha ndugu kama leo kuna giza jua kesho kutakua na mwanga shukuru alafu zidi kupambana huku ukimuomba Mungu afungue milango yake ya baraka.
Wengine maisha yao ni giza mwanzo mwisho 😁👍🏾

Mwambie apambane!

"A situation will change in life until u stand up and decide to change it by yourself!... a ball is in your hand"
 
Umeongea ukweli mzito ila maneno yanayoumiza. Yaani ukweli unaouma! 👍🏾

Vipi kijana asiye na wazazi?! Kwahiyo msaada kwake ndo mwisho?! 🤔

Msaada unatoka Kwa Mungu,
Mungu ndio mwenye wajibu wa kusaidia Watu wake iwe Kwa kupenda au asipende. Kwani ndio majukumu yake.

Ila Kwa Sisi wanadamu tunasaidia Kwa hiyari, mapenzi na upendo.
Kamaa MTU hapendi kusaidia MTU au mtoto yatima hiyo sio dhambi au KOSA.
Kwani hakuna amri ya kumlazimisha hiyari ya watu
 
Msaada unatoka Kwa Mungu,
Mungu ndio mwenye wajibu wa kusaidia Watu wake iwe Kwa kupenda au asipende. Kwani ndio majukumu yake.

Ila Kwa Sisi wanadamu tunasaidia Kwa hiyari, mapenzi na upendo.
Kamaa MTU hapendi kusaidia MTU au mtoto yatima hiyo sio dhambi au KOSA.
Kwani hakuna amri ya kumlazimisha hiyari ya watu
Naona unabadilisha mada twende kwenye mahubiri kama tupo kwenye kwaresma na darsa kama tupo misikitini mwezi mtukufu wa Ramadhan

Tumeamrishwa kutoa Zakat na sadaqa, tusaidie wahitaji kwani rizq yao hupitia mikononi mwetu. Mungu hawezi shusha msaada wake direct kwako kwa mkono wake mwenyewe aliyepata bahati hiyo ni Mtume Ibrahiim peke yake.

Punguza ukali wa maneno komredi ingawa unachoongea ni ukweli wala hujakosea.
 
Haina haja mkuu lkn ukwel ndo huo weka moyoni.omba na Mimi nisifanikiwe ktk life kama ww, nitakutafuta hata nikikukosa nitamtafuta mtoto wako nimsaidie
We nae una akili za kitoto!

Ukamtafute mtoto wa mtu humjui umsaidie kisa baba/Mama yake au mlezi alikujibu vibaya mtandaoni na hakukupa msaada?! Una miaka mingapi mdogo wetu?!

WORK-HARD!..., VALUE YOUR TIME!... AND MAKE SURE U MAKE YOUR OWN LEGAL MONEY EFFICIENTLY!
 
Naona unabadilisha mada twende kwenye mahubiri kama tupo kwenye kwaresma na darsa kama tupo misikitini mwezi mtukufu wa Ramadhan

Tumeamrishwa kutoa Zakat na sadaqa, tusaidie wahitaji kwani rizq yao hupitia mikononi mwetu. Mungu hawezi shusha msaada wake direct kwako kwa mkono wake mwenyewe aliyepata bahati hiyo ni Mtume Ibrahiim peke yake.

Punguza ukali wa maneno komredi ingawa unachoongea ni ukweli wala hujakosea.

Sasa hapo Chini umesema ninachoongea ni kweli na sijakosea alafu muda huohuo ni kama unataka nitoke nje ya mada...

Ndio maana nikakuambia MTU atatoa au kusaidia hao Watu Kwa hiyari yake na sio wajibu au lazima. Wapi hauelewi?
Unajua amri ni lazima?

Kumpenda MTU ni hiyari sio amri
 
Sasa hapo Chini umesema ninachoongea ni kweli na sijakosea alafu muda huohuo ni kama unataka nitoke nje ya mada...

Ndio maana nikakuambia MTU atatoa au kusaidia hao Watu Kwa hiyari yake na sio wajibu au lazima. Wapi hauelewi?
Unajua amri ni lazima?

Kumpenda MTU ni hiyari sio amri
Kwahiyo wewe umejiwekea maishani mwako kuna watu unawachagua wewe hawa NAWAPENDA na hawa SIWAPENDI?! 😀
 
Hii kitu bwana Wabongo wanapenda lawama jonsonjohn kupitia kwenye website yake wwww.digxam.co ametafuta sana watu kwajili ya kufanyia connection ya kuingia Japan watu kamkataa baada ya mwezi akafuta akaona ujinga leo watu wanalaumu nini
Mkuu huyu mtu nampataje, shida ni access ya information
 
usikate tamaa mtafute mdau hapo juu akupe mwongozo hakuna linaloshindikana chini ya jua ila punguza kulaumu watu Mungu atakufungulia njia yako pia.
Shukurani kaka.hatujakamilika mkuu.poleni na samahani kwa niliyemkwaza has a
Umeongea ukweli mzito ila maneno yanayoumiza. Yaani ukweli unaouma! 👍🏾

Vipi kijana asiye na wazazi?! Kwahiyo msaada kwake ndo mwisho?! 🤔
Achana naye mkuu .anaona kashafika yeye
 
Huwezi amua kumpenda au kumchukia MTU.
Hayo mambo yanakuja automatically tuu.
Yaani mazingira yanakufanya ujikute unampenda huyu alafu Yule haumpendi
Utakuwa na Dosari bwana Robert. Kataa chuki nafsini mwako.

Binafsi nachukia Mashoga na mabasha duniani!... hawa ni mashetani na majini mabaya yanayoonekana kwa macho.

Nachukia wezi na Vibaka kwa sababu hawataki kujishughulisha na kujiongeza, wanataka vya rahisi.

Tanguliza upendo kwa kila mtu maishani, popote uendapo Duniani ipe chuki asilimia chache sana nafsini mwako. Unaepukana na mengi. Chuki ni maradhi ya moyo.

Huwezi kumchukia mtu suddenly kwa maamuzi tu huo ni uzwazwa na shida ya akili.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom