Ndgu acha uongo ,sikweli usemacho .kuna vijana wanatamani kufanya hvyo mmoja wapo ni Mimi .wabongo mpo kukatishana tamaa NASA hampendi MTU aje ambapo nyinyi mpo.nlitafuta sana connection tena hats jf lkn niliishia kukatiswa tamaa.Nina passport visa si tatizo lkn ukwel utabaki palepale hata ukijitetea nikwamba wabongo tuna *OHO MBAYA hasa kusaidiana
Mkuu me nataka kuzamia huko but kwa kutumia kazi au kusoma.Unataka msaada gani exactly maana hayo ndo maswali wengi wenu mnauliza?
😅😅😅😅Ni raha sana ukipata mtu wa kumlaumu, hujui tu..!!
Acha uongo .tena ww uliyeandika huu Uzi ndo ulikuwa wa kwanza kunikatisha tamaa na ukaniambia niwe SHOGA ili nitimize ndogo zangu alfu Leo hii unaandika uongo ili kuonesha jamii kuwa ww ni kondoo kumbe ndani ni mbwa mwitu.mkuu acha kujitetea na kumbuka MTU mwenye sifa ya kusaidia MTU hajali kuwa anayetaka kusaidiwa ana kitu au hana ,kutoa ni moyo mkuu
Mpaka kumuhifadhi??? huo sasa ndio uboya wenyewe na hio ni spoon feeding. Jiulize sie wengine tuliingia hapa bila mjomba wala shangazi wa kutuhifadhi na bado tulitoboa. Wabongo wavivu wa kufikiri na kimatendo pia.Connection inayotakiwa ni wewe akija umpe hifadhi naumsaidie kutafuta kazi na apate viza ya mda mrefu aachane na mambo ya kurenuew viza kila wakati
Sasa nyie mnamwambia tu nauli mpaka Marekani ni million Tatu basi, sasa kujua bei ya nauli ni connection? Acheni uhuni bhana mna Roho mbaya tu
Umecomment vizur ila achana nakutaka kua mwanamkeConnection inayotakiwa ni wewe akija umpe hifadhi naumsaidie kutafuta kazi na apate viza ya mda mrefu aachane na mambo ya kurenuew viza kila wakati
Sasa nyie mnamwambia tu nauli mpaka Marekani ni million Tatu basi, sasa kujua bei ya nauli ni connection? Acheni uhuni bhana mna Roho mbaya tu
Haya mambo ya mamtoni waachieni wa west na wakenya.. wabongo waoga wa maisha wanapenda kitonga sana. Muone sasa huyu alipigwa deportation hataki na wenzake waoshe macho wapambanie maisha yao.Hao wanaotaka connection ya kwenda ughaibuni wangejua jinsi maisha yalivyo kule wangekausha tu,Diaspora wengi wanakufa na tai shingoni.
Wanaija na wakenya hawaoni wenge kujilipua majuu, sema wabongo wengi wana kiuoga fulani sawa na mtoto wa mwisho asiyetaka kuondoka kwenda mbali na mama yake. Na hii mentality ya uoga imetulemaza mazima....Haya mambo ya mamtoni waachieni wa west na wakenya.. wabongo waoga wa maisha wanapenda kitonga sana. Muone sasa huyu alipigwa deportation hataki na wenzake waoshe macho wapambanie maisha yao.
Tuthibitishie kwa kutoa connection hapa jamii forumNaandika huu uzi baada ya kusoma na kusikia mara kadhaa kwamba diaspora wabongo hawatoi connection za kwenda nje compared to diaspora wa nchi kama Kenya, Nigeria nk. Mimi kama diaspora napinga hii notion vikali.
Hapa JF Kuna nyuzi zaidi ya 100 zinazojadili jinsi ya kwenda nje, a quick search mtu unapata majibu yote na bado watu tunachangia nyuzi kila leo. Mnataka connection gani zaidi?
EBM anatoa free knowledge on YouTube na bloggers wengine jinsi ya kwenda nje, hiyo sio connection? Tuwape bundle za kuingia youtube au?
Mimi binafsi nimeshirikiana na watu kadhaa toka kwenye forum hii hii toka walipoanza harakati zao za kwenda nje na sasa wapo mbele needless to say walifanya sehemu zao na mambo yao yakafanikiwa. Sasa urafiki umekua undugu. Tatizo ndugu zangu wamatumbi mnapotaka connection mnataka hao diaspora wawape hadi hela na passport wawatafutie. You have to play your part as well.
Kimsingi kwenda nje is as easy as ABC. Kupata connection ni vizuri but isn't everything. Mimi nilienda bila connection yeyote ile, maelezo yote yapo kwenye websites za nchi husika ila ni lazima uwe tayari kufanya sehemu yako pia, kuna watu wanadhani diaspora wana a magic code ya kwenda nje this couldn't be further from the truth. Ni lazima uwe tayari kufanya sehemu yako.
Wabongo wenzangu punguzeni kulalamika kiboya, JF Kuna more than 100 threads, YouTube ipo, website za nchi husika zipo, tunajitoa as much as we can but we can only do so much. Maisha yako ni jukumu lako, kusaidiana kupo ila sio wajibu.
Nipo around mazee.
Mkuu.tumetofautiana usitaka maisha au msoto uliopitia et watu wengine wapitie .huenda nikakosa visa lkn moyo nitamani na Mimi kufikia ulipofikia ww.kumbuka hata family zetu uchumi umetofautiana.kingine nikwambie mheshim kijana yeyote ambaye anandoto za kufanya maendeleo Fulani hvyo anapokuja kukuomba ushauli usimuone boya kumbuka kuna vijana kama yeye ambao wamekosa mawazo hayo ,wengine now wanaiba,vibaka,wahuni,nkCase in point ni wewe, ulikwama wapi?
Connection ulitafuta wapi, nchi gani, forum gani, kwa nani?
Kama nauli na visa sio shida kwanini tena unataka connection huoni kwamba hapo mzembe ni wewe?
Mimi nilienda nje bila connection yeyote ila nilipata msaada wakutosha nilipofika I'm forever grateful for that.
Tujadili case yako kama hutojali.
Mkuu me nataka kuzamia huko but kwa kutumia kazi au kusoma.
Mtu aniconnect na programm ya bei nafuu yeyote kuanzia certificate mpaka masters coarse nina degree au kazi yeyote lengo sio kusoma wala kufanya kazi ni kuzamia mazima nisirudi hii nchi.
Inshort namna rahisi ya kufika tunaamini mliofika huko mna exposure labda kupitia mwaliko or whatever na wepesi wa gharama za kuingia huko na kuishi huko basi.
Asante, hivyo vyuo vinavyotoa hizi post graduate mpaka ufike ndio navihitaji binafsi nimefuatilia poland gharama zao ziko reasonable bank statement ndio kipengele.Kama una degree apply kufanya masters. Kuna vyuo huwa hawakauitishi ada hadi ufike for postgrad programs hasa.
Utalipia application fees, visa fees na nauli MWENYEWE. Pia bank statement iwe inasoma, that's another subtopic.
In a nutshell ni hivyo. Karibu kwa maelezo zaidi.
Kuna hata youth exchange programs.
Una build connection na wageni, hii ndiyo ilinisaidia katika nchi nilizofika mimi.
Kikubwa usiwe na shobo zilizovuka mipaka, lazima ujue kuishi na wenzetu usiishi nao kimatumbi.
Mfano hapa bongo kuna hawa UVIKIUTA wana exchange programs nyingi za mbele. Sema sina mahusiano mazuri na nilishapoteza mawasiliano na director wa pale. Zamani kuna wengine walizitumia na kuzamia miaka yetu ya 2000 mwanzoni. Wapo Chamazi ofisi yao.
NIngeshangaa sana mkuu kama naye tuhuma hIzi zingemhusu.Itakua anatoa mkuu.