Hahaha! kwa usumbufu anaopata cheusimangala sidhani kama nitaweka picha yangu kwenye avatar lakini kwa wenye kutaka kujua mzigo wangu umezidi kidogo ule wa avatar ya cheusi.
hahaha! Kwa usumbufu anaopata cheusimangala sidhani kama nitaweka picha yangu kwenye avatar lakini kwa wenye kutaka kujua mzigo wangu umezidi kidogo ule wa avatar ya cheusi.
AVATAR ya mwanajamvi mwenzetu ilishaleta balaa humu jamvini hadi mhusika akawataka radhi wale wote waliokumbwa na mifadhaiko na aliahidi kuifuta ili asiendelee KUWATEGA ilihal yee ni mlokole. DDD natuwemo tena jamvini karibu sana
AVATAR ya mwanajamvi mwenzetu ilishaleta balaa humu jamvini hadi mhusika akawataka radhi wale wote waliokumbwa na mifadhaiko na aliahidi kuifuta ili asiendelee KUWATEGA ilihal yee ni mlokole. DDD natuwemo tena jamvini karibu sana