Diamonds are Forever 2017

BilioneaPATIGOO

JF-Expert Member
Jun 23, 2012
12,321
11,315
Meneja wa Diamond Platnumz, Sallam SK aka ‘Fundi Mitambo’ ametangaza ujio mpya wa tamasha kubwa la Diamonds Are Forever 2017 ambapo safari hii litafanyikia katika uwanja wa Taifa.

Muimbaji huyo alifanya tamasha hilo kwa mara ya kwanza nchini mwaka 2012 katika ukumbi wa Mlimani City show ambayo ilihudhuriwa na watu wengi kwa kiingilio cha Tsh 50,000 na 100,000 kwa VIP.

Sallam akizungumza live na mashabiki katika mtandao wa Instagram (Insta Live) alisema show hiyo ipo kwenye maandalizi na itafanyika uwanja wa Taifa.

“Mjiandae na Diamonds Are Forever 2017, Diamonds Are Forever 2017 is back,” Sallam aliwaambia mashabiki.

Meneja huyo alidai safari hii tamasha hilo litafanyika uwanja wa taifa ili kuwapa fursa watu wengi zaidi ya kuhudhuria.

Hata hivyo hakuweka wazi ni lini au mwezi gani tamasha hilo litafanyika.

Hii ilikua ya mwisho
diamonds-are-forever.jpg
 
We jamaa unakujaga na mambo kwa kukurupuka.. Kasema wapi? Lini? Audio iko wapi? Mtu timamu huwa anatulia analrta habari imekamilika izi habari za Diamond kila siku alafu hazina source uziache..
 
We jamaa unakujaga na mambo kwa kukurupuka.. Kasema wapi? Lini? Audio iko wapi? Mtu timamu huwa anatulia analrta habari imekamilika izi habari za Diamond kila siku alafu hazina source uziache..
Heh.!! Watu wengine!!
 
We jamaa unakujaga na mambo kwa kukurupuka.. Kasema wapi? Lini? Audio iko wapi? Mtu timamu huwa anatulia analrta habari imekamilika izi habari za Diamond kila siku alafu hazina source uziache..
Y5jlggihjjhjibg6ikkkjmokmjhmnojoihlhtijikhnilkhbllkkklvjjhujhblhjnjghbvvk
 
We jamaa unakujaga na mambo kwa kukurupuka.. Kasema wapi? Lini? Audio iko wapi? Mtu timamu huwa anatulia analrta habari imekamilika izi habari za Diamond kila siku alafu hazina source uziache..
Chuki itakuuua
 
Back
Top Bottom