Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,621
- 27,567
Nyie watu sijui akili zenu huwa mnazipeleka wapi, hivi hili nalo linahitaji PhD kujua ukweli? ushamsikia wapi Diamond akililia au kuonesha tu kuguswa na kuachana na Zari? Zari kila kukicha ilikuwa ni madongo na vijembe kwa Diamond na hii inaonesha nani aloachwa, Diamond ni binadamu kachoka kuvumilia upuuzi huo kaamua kuanika ukweli.
Halaf nyumba umepewa unaishi na watoto wako wotee bado unaleta wanaume kulala kwenye hiyo nyumba