DIAMOND umetisha 'Walinenaga zamani"

DIAMOND umetisha 'Walinenaga zamani"

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,278
Reaction score
8,868
"Kwanza mapenzi safari, ujana ni maji ya moto

Walinenaga zamani...

Pili tumetoka mbali, matatizo changamoto

tu visa visa fulani...

tatu kidonda chako kwangu maradhi

Mama tu usononekapo kwangu simanzi..

Kwa mahaba uliyonipa NIMENOGEWA

ni vurugu patashika punguza kidogo..

Na mengine kadhalika toto si unanielewa?

Hapo hapo uliposhika...ukiongeza kidogo mi mwenzako ntaumia" DIAMOND
 
"Walinenaga" ni Kiswahili cha wapi hicho?
 
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom