thanx mkuu!!
una first class degree lakini kama huna usihangaike nao
kazi ipo,so wenye pass(aka gentlemen) je?
mkuu c walisema first class au upper second au nimesoma tangazo vibaya?
watawalipa kulingana na first class, au ni wale wale, wa unaanza na telling na bado gross ni 750,000! tufiakwa!
hawa ni graduate trainees,wanaenda internship for two years