Yohana1995
Member
- Mar 23, 2022
- 7
- 11
Diamond platnumz anachowazidi wasanii wengine wa bongo ni kufanya promotion kwenye kazi zake jamaa anafanya poa sana ndio maana nyimbo zake zinafika mbali.
Si anampiga pumbu Zuchu, kwa vyovyote atakuwa kishamchoka by now atatafuta demu mwingine aanze kumchafua kisha aandikwe mitandaoni na kukuza zaidi viewers YouTube. Walio karibu na Zuchu wanashindwa nini kumshauri huyu mtoto, analostishwa tu.Diamond platnumz anachowazidi wasanii wengine wa bongo ni kufanya promotion kwenye kazi zake jamaa anafanya poa sana ndio maana nyimbo zake zinafika mbali.
SHITHEADSi anampiga pumbu Zuchu, kwa vyovyote atakuwa kishamchoka by now atatafuta demu mwingine aanze kumchafua kisha aandikwe mitandaoni na kukuza zaidi viewers YouTube. Walio karibu na Zuchu wanashindwa nini kumshauri huyu mtoto, analostishwa tu.
Diamond platnumz anachowazidi wasanii wengine wa bongo ni kufanya promotion kwenye kazi zake jamaa anafanya poa sana ndio maana nyimbo zake zinafika mbali.
Mkuu diamond yuko kwenye business wise yeye anatoa kile kinachohitajika na mlajianajua marketing ila anachoimba hakuna i will be honest EP yake hakuna nyimbo kali inayokaribiana na bwana mdogocau utu.. hakuna