I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,731
- 10,033
Msanii wetu SIMBA namkubali sana sasa tatizo lake anapenda kukurupuka sana pale mafuraha ya kutoka pasipojulikana yanapo mvaa na kutangaza ma- ahadi tele kila mahali online, na hata live Wasafi TV/Radio kuwa atatoa mara hiki mara kile kwa jamii. Na mara chache sana huvitimiza anavyosema ni kama 4/10 tu ya anachoongea inabidi tuamini.
Hivi ile ahadi ulioitoa miezi kadhaa nyuma ya kulipia kodi za nyumba kwa watu 500 ziliishia wapi?
Nakumbuka uliweza tu kutoa kodi kwa wajane, wazee na walemavu 57 kodi hizo. Na wengine 443 ilibidi wasahau jambo hilo.
Hivi ile ahadi ulioitoa miezi kadhaa nyuma ya kulipia kodi za nyumba kwa watu 500 ziliishia wapi?
Nakumbuka uliweza tu kutoa kodi kwa wajane, wazee na walemavu 57 kodi hizo. Na wengine 443 ilibidi wasahau jambo hilo.