chukuachako
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 1,186
- 797
Inaboa msifie mkeo
Wivu tu kwendraa ukiona inaboa unapta kushoto c lazma uje uone tunavomsifia as long as sifa ni zake
Inaboa msifie mkeo
Wivu tu kwendraa ukiona inaboa unapta kushoto c lazma uje uone tunavomsifia as long as sifa ni zake
Nikwambie kitu kimoja chenye manufaa kwako na jamii yako
Punguza ulimbukeni
Namckukia tena sana
Teh teh teh pole sana kuna siku Mungu atackia kilio chako
Mwehu mwenzako
Huyo dimond anajituma kwa lipi??? Anaingizia nchi pato gani mi naona huwa washabiki wake asilimia 90 ni wajinga
bwana omar usipende kuwaita watu wajinga maana ujui nani msaada katika dunia,ndo ayo tu,
maswali mengine bwana we hujui kama dangote ndo msanii wa nchi?
bwana omar usipende kuwaita watu wajinga maana ujui nani msaada katika dunia,ndo ayo tu,
Ndo maana nasema humu yamejaa majinga kama ww mwingine nazidi kuyaokota tu hata iyo cochons hujui kuandika
Yaani mnatumia nguvu mpk kutukana kwa ajili ya wehu km unamkubali MPE mkeo hahahahah
Dah raha sana kuitawala mizombi
Siwezi bishana na mtu kama ww,naona kama napoteza mda wangu bure,maana nyie ndo wale kula kulala
Kubishana nini??
Kutokubali uwezo wa mwenzako ambao wengi wanauona alafu ww unajifanya kipofu,noma sana,nyie ndo wale kula kulala,unaweza kukuta ata hapo ulipo unakaa kwa Dingi yako na wakati mwenzako yupo kwake